Kuogopa kutendwa nimeamua kuoa asiyejua kusoma na kuandika, zaidi ya kuandika jina lake hajui chochote kingine

Nani atafanya homework za watoto wako usipokuwepo?

Wahenga wanasema pasee flani watoto wanachukua akili za mama. Kila la kheri na huyo chizi fresh wako πŸ˜‚πŸ˜‚ β€˜umesema mwenyewe ukimtizama ni kama hazijatimia’
Hujatumia Lugha nzuri mkuu sio freshi
 
Cheating inaingikiana vp na mambo ya elimu? Kwamba mwanamke akiwa msomi ndio milage za kugongwa zinaongezeka!?!!!!????
 
Umeyakanyaga poleeee!
Subiri akili za watoto wako zitakupa majibuπŸ˜‚
 
Kosa kubwa linalofanywa na wanandoa wengi ni kufikiria jamii itasemaje juu ya mwenza wake ama kumchagua mwenza kwasabb ni photogenic atavutia nikimpost.

Mnapaswa kuangalia uwezo wa mtu kkt kutimiza roles za mke na mume, siyo kuifurahisha jamii.
Wa darasa la pili ana fit hapo kwenye maelezo yako? Kwamba ataendana na kasi ya malezi ya mjini? Kwamba mtoto wake aje na utashi wa smartphone, mama mtu ataweza kung’amua? Kwamba mtoto ametoka shule na homework na anahitaji amsaidie, baba atarudi kutoka kazini amfundishe mtoto? Wanaume mna kazi kubwa nawaambia. Mmekua kama mapunguani baadhi yenu: inferior
 
Nani atafanya homework za watoto wako usipokuwepo?

Wahenga wanasema pasee flani watoto wanachukua akili za mama. Kila la kheri na huyo chizi fresh wako πŸ˜‚πŸ˜‚ β€˜umesema mwenyewe ukimtizama ni kama hazijatimia’
Kumradhi, Hivi mtu asiposoma anakuwa hana akili?
 
Unastahili medali ya dhahabu,,,naunga mkono hoja
 
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kwamba mtoto ametoka shule na homework na anahitaji amsaidie, baba atarudi kutoka kazini amfundishe mtoto?
Tatizo mnapeleka watoto kwenye Inglish (siyo English) medium schools. Ambako homework anapaswa kufanya mzazi na mtoto.

Wenzako tunapeleka mtoto kwenye international Schools, tukifeli sana tunawapeleka English (siyo Inglish) medium schools, ambako kila kitu kinafanywa na mwalimu. Mzazi kazi yake kulipa ada tu.

N.B. Inglish (siyo English) medium schools ni vishule vinavyoanzishwa na waganga njaa. Hawa wanaajili walimu 3 shule nzima, wengine wanakuwa vibarua tu (part-time). Huku ndiyo mzazi anapelekewa homework kama mwanafunzi.

Hivi unadhani waziri Ummy siyo mama? Kwa kazi zake anaweza kufanya homework? Ndiyo maana Kuna shule za wazazi wa aina hiyo
 
Kama wewe ndo baba unaetegemea kulea familia bado una kazi kubwa sana. Very low thinking capacity. Yani kisa nalipa ada ndo nisijue mwanangu anasoma nini shule? Nta interact nae vipi sasa? Kwenye ndoa tatizo kubwa ni mentality ya baba ikikinzana na mapokeo ya mama moto lazima uwake.

Ingekua hivyo. Kila mtoto anaesoma hizi English medium angeongoza
 
The late kaka yangu m,moja aliwahi kufanya hivi (R.I.P MY BELOVED BROTHER)

Alioa MKE kama huyo baada ya kumzalisha watoto wawili akimkataa na kusema mtu mwenyewe hujuh hata kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…