Hata awe bubu ataliwa tuNimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Watoto huwa wanarithi IQ za mama zao.Sasa huyo mwenzetu amejichanganya sana maana shuleni watoto wake watazungusha Sana miduara😂
Hujasoma uzi au?? Si ameandika mwenyewe kuwa mkewe hazijatimia?Kumradhi, Hivi mtu asiposoma anakuwa hana akili?
Soma uzi aya ya kwanza.Mkuu umefanya maamuzi sahihi kuhusu kuoa lazima uwe logically kuoa MTU mjuaji na asiyejitambua huku akisema amesoma ni kujimaliza.
Hao darasa la Saba most of them wameonesha , they deserve to get marriage.
Mimi Babu yangu alikuwa intellectual mkubwa na amefanya kazi na nyerere na ni very prominent serikalini na Taifa Ila alimuoa bibi yetu alikuwa hajui kusoma wala kuandika lakini she was very bright .
Huyu bibi yetu watoto wake wote 08 kawasomesha hadi elimu za juu amehakikisha wanaoa na kuolewa kahakikidha wanajenga majumba na kuwa well financial stable.
So siwezi kuongea zaidi Ila tunahitaji kuoa smartest women , na sio MTU tu ilimradi kasoma .
Babu yangu alikuwa educated , Ila hakuwa na akili kumfikia bibi ambaye alikuwa hana hata darasa moja.
Hawa wanajiita wasomi Ila hawana huo usomi kichwani , ukiwaambia walee mtoto hata mmoja kwa hustle zao bila kupata back up hawawezi kabisa.
Babu yangu alifariki akaacha watoto 06 ambao walikuwa hawajajipata Ila bado Bibi yangu aliweza kuwalea na kuhakikisha wanajipata na kuwa productive.
Soma uzi aya ya kwanza.
Sio tu hajui kuandika, ni hazijatimia kichwani.
Hivi IQ ins uhusiano na elimu ya mtu?Watoto huwa wanarithi IQ za mama zao.Sasa huyo mwenzetu amejichanganya sana maana shuleni watoto wake watazungusha Sana miduara😂
Kweli kabisa maana hata wazee wetu before Uhuru kipindi ambacho huduma za afya ,Elimu N.k zilikua duni kwa kiasi kikubwa lakini kwa kiasi kikubwa waliweza kutumia akili zao na kuweza kuyatawala mazingira na Maisha yaoKuna watu ukiondoa Degree yake kichwani aliyosomea anabaki hata za kuvuka barabara hana.
Hapo hakuna akili.
Sawa mkuuHuo ndo uoga wenu. Most men are inferior
Jibu swali acha janja janja weweHujasoma uzi au?? Si ameandika mwenyewe kuwa mkewe hazijatimia?
AtNimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Duu kwani dudu huwa unasoma?Nimeamua kuoa mke darasa la 2, ukimchunguza sana ni kama hazijatimia. Lkn yuko fertile kinyama, ukigusa tu mimba.
Nimeamua kufanya hivi ili kuwakwepa mafeminist, wajuaji, wapenda hela, wapenda mawigi, watembea uchi, wachezaji vikoba na watafuta utajiri kwa kupitia mume.
Je, mwanaJF, unadhani nimeupiga mwingi ama nimebutua?
Akili ni nini?Jibu swali acha janja janja wewe