Kuogopana kwa Watanzania nchini Marekani

Kuogopana kwa Watanzania nchini Marekani

Kwa ufahamu wangu ni kwamba watanzania walio wengi huko Marekani haswa hawa vijana wa kibongo fleva (kizazi cha 90, na 2000) ni ma alosto tu...wengi wao wanaishi maisha ya kubangaiza na kuunga unga, kuuza madawa ya kulevya, umbea na kufanyiziana. Unakuta wanaume wa Kitanzania ni wambea shinda wanawake wao na hii ni wanawake wenyewe wanalalamikia kaka zao. Ukiwa na rafiki wa Kitanzania watakuchunguza na kutaka kukuharibia mipango yako ili tu na wewe uwe kama wao. Pia wabongo popote pale waishipo si China, Uingereza au Marekani hawapendi kujichanganya na raia wa nchi zingine pengine labda ni lugha inawapiga chenga na pia wanapenda kuchukuliana mademu kama wafanyavyo huku nyumbani. So in short kuwa na rafiki mbongo majuu ni kujitakia matatizo tu.
 
Mie bado nina kamba mguuni,,,,,,hata tongotongo bado hazijantoka
Maana yake nilikuwa najua wewe ni dereva wa malori halafu una miaka sitini
 

Attachments

  • Screenshot_20250121-075917.png
    Screenshot_20250121-075917.png
    166.4 KB · Views: 2
WaTanzania tuna asili ya undugu na ukarimu kwa hapa nyumbani........ lakini kwa Marekani ni tofauti kabisa...wabongo huogopana sana.

Maisha na michongo hupatikana kwa waKenya yaani Mtanzania na Mkenya kwa Marekani ni zaidi ya ndugu.

Sasa katika pitapita zangu kuna sehemu huwa naenda kupata ''gahwa'' na kitu kama kashata za karanga wenyewe wanaita 'peanut butter cookies',,,{hii hunifanya nijisikie niko kwenye vijiwe vya kahawa vya nyumbani}

Wakati napooza baridi na kahawa nikasikia mtu anazungumza kiswahili kwenye simu....na kiswahili chake ni cha kibongo haswa.....basi mara baada ya kumaliza kuzungumza nikaona vyema nimsabahi,,,,,dooh mwanangu jamaa alipaniki mpaka nikaona huu mtihani lakini hata hivyo nikazidi kuzungumza nae kiungwana na kiundugu.......

Kwa kifupi jamaa akawa mpole na baada ya kumkaribisha gahwa akaanza kufunguka yeye bongo anatoka sehemu gani na yupo marekani kwa muda mrefu sana sana....akazidi kunijuza visa mbalimbali vya wabongo kufanyiana roho mbaya.........

WAbongo wengi waliokuja miaka ya 80 themanini na tisini wazazi wao walikuwa aidha ni viongozi au wafanyabiashara wakubwa....na watoto wengi maisha yao ya nyumbani yalikuwa na hali nzuri sana,

Pia kuna wabongo wachache ambao wametoka kwenye familia za kimasikini ambao wao hukumbuka kufanya hili na lile kwa nyumbani,,,

Sasa wale watoto wa wakubwa hakuna la maana walilofanya aidha nyumbani au huku marekani wengi ni walevi wengine ni mateja na wengine wako jela ama wametoka jela kurudi nyumbani wanaona noma....kazi yao kubwa ni kuwafanya wabongo wengine waharibikiwe,,,,,,,

Wazazi wao huko bongo wengi wamekwisha fariki na wengine wamestaafu kazi na hali zao kiujumla si nzuri,,,,,,Hapa ndipo nikamkumbuka mzee fulani maeneo ya Mbezi beach watoto wake wote wako marekani lakini yeye maisha yake ya kinyonge sana,,,,angalau jumba analokaa linaonyesha hapo kabla alikuwa MTU lakini.........
jamaa zangu waliokuwa wanaishi oysterbay wakati tupo shule wote wako marekani,,,lakini walichoambulia ni kuongea kama snoop dogy dog!!
 
WaTanzania tuna asili ya undugu na ukarimu kwa hapa nyumbani........ lakini kwa Marekani ni tofauti kabisa...wabongo huogopana sana.

Maisha na michongo hupatikana kwa waKenya yaani Mtanzania na Mkenya kwa Marekani ni zaidi ya ndugu.

Sasa katika pitapita zangu kuna sehemu huwa naenda kupata ''gahwa'' na kitu kama kashata za karanga wenyewe wanaita 'peanut butter cookies',,,{hii hunifanya nijisikie niko kwenye vijiwe vya kahawa vya nyumbani}

Wakati napooza baridi na kahawa nikasikia mtu anazungumza kiswahili kwenye simu....na kiswahili chake ni cha kibongo haswa.....basi mara baada ya kumaliza kuzungumza nikaona vyema nimsabahi,,,,,dooh mwanangu jamaa alipaniki mpaka nikaona huu mtihani lakini hata hivyo nikazidi kuzungumza nae kiungwana na kiundugu.......

Kwa kifupi jamaa akawa mpole na baada ya kumkaribisha gahwa akaanza kufunguka yeye bongo anatoka sehemu gani na yupo marekani kwa muda mrefu sana sana....akazidi kunijuza visa mbalimbali vya wabongo kufanyiana roho mbaya.........

WAbongo wengi waliokuja miaka ya 80 themanini na tisini wazazi wao walikuwa aidha ni viongozi au wafanyabiashara wakubwa....na watoto wengi maisha yao ya nyumbani yalikuwa na hali nzuri sana,

Pia kuna wabongo wachache ambao wametoka kwenye familia za kimasikini ambao wao hukumbuka kufanya hili na lile kwa nyumbani,,,

Sasa wale watoto wa wakubwa hakuna la maana walilofanya aidha nyumbani au huku marekani wengi ni walevi wengine ni mateja na wengine wako jela ama wametoka jela kurudi nyumbani wanaona noma....kazi yao kubwa ni kuwafanya wabongo wengine waharibikiwe,,,,,,,

Wazazi wao huko bongo wengi wamekwisha fariki na wengine wamestaafu kazi na hali zao kiujumla si nzuri,,,,,,Hapa ndipo nikamkumbuka mzee fulani maeneo ya Mbezi beach watoto wake wote wako marekani lakini yeye maisha yake ya kinyonge sana,,,,angalau jumba analokaa linaonyesha hapo kabla alikuwa MTU lakini.........
Wabongo tunapenda sana misaada yaan kitonga we kaza hakuna atakaekuonea huruma kwa maisha ya sasa
 
Nikiona nyuzi hizi nakumbuka kaka yangu sijui Yuko wapi lakini mara ya mwisho nilisikia Yuko marekani.
Ujumbe wake ni huu,,
Mdogo wake niko vizuri mcute sasa ni mama na watoto watano
Binti yake aliyomuacha ambae anajulikana kama mtoto wangu w kwanza Yuko form two ndoto yake ni kuwa fundi mkubwa wa magari yanayotumia umeme.
Ikitokea umesoma hapa Mimi mdogo wako tumezaliwa flat za custom sasa hivi wanaita flat/ magorofa ya TRA jirani na flat za jeshi....
Tanzania Ina pesa baba na mama hawapo Tena lakini maisha yetu sio ya kizembe kama upo rudi nyumbani na Bibi asha amefariki mwaka Jana.
Hii ni code atakaelewa atanitafuta.
Mwenge
 
WaTanzania tuna asili ya undugu na ukarimu kwa hapa nyumbani........ lakini kwa Marekani ni tofauti kabisa...wabongo huogopana sana.

Maisha na michongo hupatikana kwa waKenya yaani Mtanzania na Mkenya kwa Marekani ni zaidi ya ndugu.

Sasa katika pitapita zangu kuna sehemu huwa naenda kupata ''gahwa'' na kitu kama kashata za karanga wenyewe wanaita 'peanut butter cookies',,,{hii hunifanya nijisikie niko kwenye vijiwe vya kahawa vya nyumbani}

Wakati napooza baridi na kahawa nikasikia mtu anazungumza kiswahili kwenye simu....na kiswahili chake ni cha kibongo haswa.....basi mara baada ya kumaliza kuzungumza nikaona vyema nimsabahi,,,,,dooh mwanangu jamaa alipaniki mpaka nikaona huu mtihani lakini hata hivyo nikazidi kuzungumza nae kiungwana na kiundugu.......

Kwa kifupi jamaa akawa mpole na baada ya kumkaribisha gahwa akaanza kufunguka yeye bongo anatoka sehemu gani na yupo marekani kwa muda mrefu sana sana....akazidi kunijuza visa mbalimbali vya wabongo kufanyiana roho mbaya.........

WAbongo wengi waliokuja miaka ya 80 themanini na tisini wazazi wao walikuwa aidha ni viongozi au wafanyabiashara wakubwa....na watoto wengi maisha yao ya nyumbani yalikuwa na hali nzuri sana,

Pia kuna wabongo wachache ambao wametoka kwenye familia za kimasikini ambao wao hukumbuka kufanya hili na lile kwa nyumbani,,,

Sasa wale watoto wa wakubwa hakuna la maana walilofanya aidha nyumbani au huku marekani wengi ni walevi wengine ni mateja na wengine wako jela ama wametoka jela kurudi nyumbani wanaona noma....kazi yao kubwa ni kuwafanya wabongo wengine waharibikiwe,,,,,,,

Wazazi wao huko bongo wengi wamekwisha fariki na wengine wamestaafu kazi na hali zao kiujumla si nzuri,,,,,,Hapa ndipo nikamkumbuka mzee fulani maeneo ya Mbezi beach watoto wake wote wako marekani lakini yeye maisha yake ya kinyonge sana,,,,angalau jumba analokaa linaonyesha hapo kabla alikuwa MTU lakini.........
Tatizo wabongo ukileta mazoea nae anaanza Tabia za kupiga vizinga na usinitch
 
Nikiona nyuzi hizi nakumbuka kaka yangu sijui Yuko wapi lakini mara ya mwisho nilisikia Yuko marekani.
Ujumbe wake ni huu,,
Mdogo wake niko vizuri mcute sasa ni mama na watoto watano
Binti yake aliyomuacha ambae anajulikana kama mtoto wangu w kwanza Yuko form two ndoto yake ni kuwa fundi mkubwa wa magari yanayotumia umeme.
Ikitokea umesoma hapa Mimi mdogo wako tumezaliwa flat za custom sasa hivi wanaita flat/ magorofa ya TRA jirani na flat za jeshi....
Tanzania Ina pesa baba na mama hawapo Tena lakini maisha yetu sio ya kizembe kama upo rudi nyumbani na Bibi asha amefariki mwaka Jana.
Hii ni code atakaelewa atanitafuta.
Huyo Kaka yupo jela lazima...maana kama ana akili timamu na yupo uraiani hawezi kufanya ivo.
 
WaTanzania tuna asili ya undugu na ukarimu kwa hapa nyumbani........ lakini kwa Marekani ni tofauti kabisa...wabongo huogopana sana.

Maisha na michongo hupatikana kwa waKenya yaani Mtanzania na Mkenya kwa Marekani ni zaidi ya ndugu.

Sasa katika pitapita zangu kuna sehemu huwa naenda kupata ''gahwa'' na kitu kama kashata za karanga wenyewe wanaita 'peanut butter cookies',,,{hii hunifanya nijisikie niko kwenye vijiwe vya kahawa vya nyumbani}

Wakati napooza baridi na kahawa nikasikia mtu anazungumza kiswahili kwenye simu....na kiswahili chake ni cha kibongo haswa.....basi mara baada ya kumaliza kuzungumza nikaona vyema nimsabahi,,,,,dooh mwanangu jamaa alipaniki mpaka nikaona huu mtihani lakini hata hivyo nikazidi kuzungumza nae kiungwana na kiundugu.......

Kwa kifupi jamaa akawa mpole na baada ya kumkaribisha gahwa akaanza kufunguka yeye bongo anatoka sehemu gani na yupo marekani kwa muda mrefu sana sana....akazidi kunijuza visa mbalimbali vya wabongo kufanyiana roho mbaya.........

WAbongo wengi waliokuja miaka ya 80 themanini na tisini wazazi wao walikuwa aidha ni viongozi au wafanyabiashara wakubwa....na watoto wengi maisha yao ya nyumbani yalikuwa na hali nzuri sana,

Pia kuna wabongo wachache ambao wametoka kwenye familia za kimasikini ambao wao hukumbuka kufanya hili na lile kwa nyumbani,,,

Sasa wale watoto wa wakubwa hakuna la maana walilofanya aidha nyumbani au huku marekani wengi ni walevi wengine ni mateja na wengine wako jela ama wametoka jela kurudi nyumbani wanaona noma....kazi yao kubwa ni kuwafanya wabongo wengine waharibikiwe,,,,,,,

Wazazi wao huko bongo wengi wamekwisha fariki na wengine wamestaafu kazi na hali zao kiujumla si nzuri,,,,,,Hapa ndipo nikamkumbuka mzee fulani maeneo ya Mbezi beach watoto wake wote wako marekani lakini yeye maisha yake ya kinyonge sana,,,,angalau jumba analokaa linaonyesha hapo kabla alikuwa MTU lakini.........
Wabongo walio Marekani wengi ni mafukara sana.

Diaspora wenye uchumi mkubwa ni wapopo.
 
Wabongo walio Marekani wengi ni mafukara sana.

Diaspora wenye uchumi mkubwa ni wapopo.
Ndio kisa na maana hawarudi.....muda umekwenda kurudi wanaona noma wanahisi watachekwa....
 
Back
Top Bottom