Kuogopana kwa Watanzania nchini Marekani

Kuogopana kwa Watanzania nchini Marekani

Mnaona Aibu...
Mnajimwambafai kumbe wengi mahomeless..
🤣🤣
 
haha aisee dah umenikumbusha miaka ya nyuma kidogo pale gatwick london tulimpelekeaga shobo chimakekee ting tang ting tang haikatai.... ngozi ya tako ngozi ya mbupu akatunitch kwa immigration kesho yakeee mazee dah....nliponea wenzangu wawili wakadakwa...nikimuonaga tiktok nacheka tuu...
Inavyoonekana wewe ni miongoni mwa Watu wenye Passport ya Tanzania ambao mmekuwa mkijihusisha na vitendo viovu vya uhalifu huko nje ya Tanzania na kuharibu kabisa sifa nzuri za jina la nchi. Nyie ndio mmekuwa mkilipaka kinyesi jina la nchi kuwafanya watu/raia wote kabisa wa Tanzania kuonekana kuwa wanajihusisha na vitendo vya uhalifu. Baadhi ya nchi zenye Sheria kali Sana Kama vile China, Malaysia, Pakistan wamekuwa wakifanya vyema sana kuwanyonga Watu wahalifu ambao wamekuwa wakikamatwa kwenye hizo nchi zao.
Hii itasaidia sana katika kuwasafisha kabisa Watu wahalifu ambao wamekuwa wakijihusisha na uhalifu na kuharibu Majina ya nchi zao walikotokea. Ningependa na nchi zingine nazo waige mfano huu mzuri kutoka kwa nchi hizi ili kukomesha kabisa vitendo vya uhalifu, hususani Watu kujihusisha na biashara haramu ya madawa ya kulevya.
 
Jamani tumechoka kila siku kufatilia maisha ya watu wanaoishi US na Ulaya
Hivi hamjua maana ya neno kulowea, nyinyi mnadhani kila anayeenda huko anafikiria kurudi sijui kujenga mara kuja na biashara, kuna wengine wameamua kulowea hasa huko, kuna madaktari, wanasayansi na pia choka mbovu lakini bado anauhakika wa sehemu yake ya kuishi na kujitegemea, kwa maana hiyo harudi na wala hataki kusikia stori za sijui kujenga nyumbani wala nini....
Na wale walioanza familia kabisa , hatakuelewa umlete stori za kurudi na familia yake eti kwenye kinyumba alijenga huko mbezi au sujui kigamboni...
Sio kila mtanzania alieko nje ya nchi ana mawazo ya kurudi bongo hata kama anajiweza.
Kabisa hata mwanangu ameapa hatarudi bongo.....ndio kisa na maana mimi baba yake kunipa mwaliko nije msabahi...lakini walaaaahi mimi huku sikupendi asilani.....narudi zangu bongo siku si nyingi......
Kupanga ni kuchagua
Maisha popote
Riziki mwanzo wa chuki
Mganga Mungu
miti shamba imani
 
Kabisa hata mwanangu ameapa hatarudi bongo.....ndio kisa na maana mimi baba yake kunipa mwaliko nije msabahi...lakini walaaaahi mimi huku sikupendi asilani.....narudi zangu bongo siku si nyingi......
Kupanga ni kuchagua
Maisha popote
Riziki mwanzo wa chuki
Mganga Mungu
miti shamba imani
Kuna watu huko wana makampuni na wameajiri wazawa wa huko, sasa huyu utamwambiaje aje kuwekeza bongo na kuajiri watu wazembe, wavivu na wezi.
Kama unavyosema, mwanao, sasa fikiria yeye ana familia yake huko, watoto wake maisha yao yote wamezaliwa na kuyaona huko, hawa watamuona baba mwehu awaambia tunarudi kuishi bongo, watamwambia yeye arudi peke yake bongo kuishi peke yake hata kama ana hekalu huko mbezi au mikocheni?
Kama ukienda huko ukiwa mtu mzima, hutapapenda, lakini walionda vijana na kuanza maisha huko, mara nyingi wanalowea huko huko.
Ya nini aje kuzikwa pembeni ya mtesi wake aliyekuwa kila siku anaomba na yakutolea, inakuwa hakukaliki huko makaburini
 
Mnaona Aibu...
Mnajimwambafai kumbe wengi mahomeless..
🤣🤣
US Dollar $$$ utazipata lakini kuna msemo nimeukuta huku...BILLS BILLS BILLS.......zaidi ya kula kunywa na kuvaa.....labda na kausafiri hakuna la maana huku.....pesa inapita mikononi tu...huku watu wanaishi kwa madeni ...kuna hiyo CREDIT CARD kila wanavyojaribu kunielezea ni kitu gani huwa mimi SIELEWI........
Halafu kuna watu wamepigwa PIN na kitu inaitwa CHILD SUPPORT yaani mwanamke anakutegeshea ukizaa nae tu....IMEKULA KWAKO...kila unachokipata KWA AMRI YA MAHAKAMA lazima kiende kwa MAMA WATOTO.....kuna wanawake wamezaa na wanaume mpaka watatu tofauti...yeye anakaa nyumbani tu....ana uhakika wa kuvuta mpunga sehemu tatu tofauti.........
 
Back
Top Bottom