Kuolewa ndio kipimo cha upendo?

Kupendwa ni jambo moja na kuolewa ni jambo lingine.
Kupendwa unaweza ukapendwa hata na boy wa kitaa lakini usiolewe nae pia. Minaamini kwamba kuolewa ni habati tu, na hii haimaanishi kwamba ambao hawajaolewa hawana bahati.
 
Je mkioana halafu ukaja ukagundua MW nzako nimchepukaji utavumilia
 
sawa ni heshima, Ila hujajibu swali mkuu, kuolewa ndo kupendwa??
Ndio ndo kupendwa,usimwamini mwanaume anakudanganya anasema yule nilimuoa kwa sababu wazazi walinilazimisha au akataja sababu yoyote na anakwambia ila we ndo nakupenda
Au wadada wanawatambia wenzao eti umeolewa ila anayependwa ni mimi thubutu,ogopa matapeli
 
Kataa ndoa , upendo hauwezi kupimwa na kitu cha kipumbavu hivyo, nikishagegeda kipururu kikikata huwa ndo naangalia kma ninapenda au lah najikuta mdada ninae mpnda ata smtamani kumgegeda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…