Kuolewa ni Heshima kwa Mwanamke

Lakini wenye kuithamini hio heshima wapo? Wengi wakishapata ndoa tu wamemaliza uanza chokochoko za kuibomoa ndoa. Ndoa ikifa uanza kukimbilia kwa Mwamposa baada ya kuliwa pesa na waganga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…