Wewe mwenyewe ni msukhumaNi kawaida, kule nimewahi kuishi, kuna wazee kule hawajiu Kiswahili hata cha kuombea maji tu,
Acha Tu mkuu waombwe Kura Kwa lugha Yao ileile!! Na nadhani hakuna ubaya Ila tu mtizamo tu ulionao wewe
Mwl Nyerere alisha sema kabisa kuwa ukiona mwana siasa anatumia kigezo cha ukabila basi jua kuwa as mefilisika kisiasaUkisikia kubomoa paa la nyumba ili ujenge mlango ndiko huku...., tunapandikiza chuki na ukabila...
Kazi kubwa aliyofanya Mwalimu ya kutuunganisha inaharibiwa leo...., kwa manufaa ya nani... (who knows); ila definitely not Tanzania...
😂 Kuna shida?
Mmefirisika kisiasaNyumbani ni nyumbani mtu kwao hata Lisu aliongea kilugha kwao
Wewe mwenyewe ni mjinga pia[emoji23] Kuna shida?
Wasukuma na Tanzania si mahali pao,? Umeandika kijinga Sana mkuu!
Kuanzia sasa na kuendelea, nimejilidhisha pasipo Shaka kuwa, wewe ni miongoni mwa watu wajingawajinga Sana hapa, nimekuwa nikifuatilia namna ya hoja na michango yako, mingine ni ya kijinga mno
Unamaanisha watangulizi wake hawakwenda kuomba kura uko kisa lugha gongana!?Ni kawaida, kule nimewahi kuishi, kuna wazee kule hawajiu Kiswahili hata cha kuombea maji tu,
Acha Tu mkuu waombwe Kura Kwa lugha Yao ileile!! Na nadhani hakuna ubaya Ila tu mtizamo tu ulionao wewe
Hotuba zote zipitiwe ili kwa kutumia wasukuma walioko upinzani tafsiri ya chochote kilichosemwa kwa kisukuma ipatikane na kuwekwa hadharaniInasikitisha na kuhuzunisha kura za Magufuli zinaombwa kwa ukabila na eneo analotoka.
Leo yuko Geita cha ajabu kikabila kinatumika kuomba kura tena kwa vijembe kwa kusema inakuwaje mnataka kumchagua asiye wa nyumbani kwenu usukumani na kasema kwa kuwa tunafahamiana kwenye mikutano yao wakija ole msukuma ahudhurie baada ya Uchaguzi wataonana.
Huu ukabila tume ya Uchaguzi haioni kuwa ni kuligawa taifa?
Kilichofanyikaga pale singida mh Lisu akiongea na Wanyaturu kilikuwa ni Kiswahili kweli kile?
Na kama haiwezekani kuongea kiswahili, inatakiwa kuwe na mkalimani wa kiswahiliSheria za uchaguzi zinataka kishahili tu kitumike
Mkuu,Ndiyo maana huwa nakwambiaga kwamba, kuvunjiana heshima sio Jambo la Afya hata kidogo, Hadi naamua kujiunga humu, awali nilikuwa ni msomaji mzuri wa michango ya watu hapa JF, na tayari Hadi najiunga Jf, kuna watu ambao tayari nilikuwa nawakubali na kuwaheshimu, ni pamoja na wewe mkuu,Sheria za uchaguzi zinataka kiswahili tu ndio kitumike. Hiyo siku Lisu alikuwa kwenye kampeni? Isitoshe hata kama Lisu aliongea kinyaturu, nani alimsifia kwa huo upuuzi?
Wasukuma tunachafuliwa na upumbavu wa watu wachacheHili kabila limejitunzia heshima yake kwa muda mrefu na ni kabila la kuaminika sana..sema kuna wapumbafu wachache wanataka kutuharibia..hivyo nachukua nafasi hii kulaani tabia hiyo kwa wote wanaotumia ukabila kuomba kula..pia na waombea radhi muwasamehe hawajitambui.
#MaendeleoHayanaChama
Alikuwa kwenye kampeni ?Kilichofanyikaga pale singida mh Lisu akiongea na Wanyaturu kilikuwa ni Kiswahili kweli kile?
Upuuzi ulianzia kwako, pale uliponyamaza kumkea huyo Lulu wenu pale alipokuwa akiwahutubia Wanyaturu pale Singida
Kwa hiyo kimsingi unakubali kuvunjwa kwa kanuni ila unashangaa kuwa kanuni nyingi zimevunjwa na wagombea na hatua hazijachukuliwa?Ni Kanuni ngapi mpaka sasa zimevunjwa na wagombea mkuu na bado wanaachwa?