gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Inaonekana unafikiria karibu sana.hiyo ikulu kwani ccm wamekaa nayo miaka mingapi?. nchi si ni hii hii,kuna jambo jipya?..watu wanaongelea mustakabali wa taifa kwa miaka mingi ijayo wewe unawaza ikulu.Usijifanye hujui madhara ya ukabila.Nanikwambie tu kua huo ukabila ukishamiri ata hiyo ikulu unayotambia mtaiona chungu.Ni mjinga pekee nfiye anayeweza kushabikia huu ujinga.I do not change my words I have written and even if they do not speak the language, CCM still has a great victory, Ni hasira zenu za awali za kuikosa Ikulu hata kabla ya uchaguzi