Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Shida ni nini?
Wewe endelea kua na adabu mkuu

Wewe ukiwa na adabu inatosha
Shida hamjui kitu na mnaharibu system mliyokuta wenzenu wanapita.

Uzuri ni kwamba kufikia 2030 kutakuwa hakuna KUPIGA DILI.Na kenge kama wewe mtakuja kulialia hapa JF kutaka mpewe miongozo.

Nyie mbulukenge kubalini hamjui mfundishwe,acheni tamaa na maisha ya showoff.
 
Akhu! Mbona mi nimeenda kwa shemeji yako kwa bata wawili tyuuu..!! 😹
Nimeenda ghetto ikawa ndo ntolee sijarudi tena home..!! 🏃‍♀️🏃‍♀️
Aseeh Ila harusi zenu watu wa kariakoo mnafunga jiji aseeh 😂

Kuna moja niliona ukumbi mzima ni sare, mpaka najiuliza Ina maana walishonewa ukiangalia video na picha quality zake ni amsha

Bado decorations ilivyo, msosi, nguo walizovaa....


Mimi yangu ni hapo ilala boma saa hz nipo nyumbani nafunga mchicha bwasi nikatembeze 😂
 
Aseeh Ila harusi zenu watu wa kariakoo mnafunga jiji aseeh 😂

Kuna moja niliona ukumbi mzima ni sare, mpaka najiuliza Ina maana walishonewa ukiangalia video na picha quality zake ni amsha

Bado decorations ilivyo, msosi, nguo walizovaa....


Mimi yangu ni hapo ilala boma saa hz nipo nyumbani nafunga mchicha bwasi nikatembeze 😂
Umesahau zawadi za kamati, huwa tunatoa mitaji maharusi washindwe wao kuendesha maisha..!!
 
Kinachonishangaza mwishonwa shereh wale kamat wanakaa nakuanza kugawana hela zilizobaki
Eti inaitwa kuvunja kamati.
Uhuni mtupu.
Kama hela imebaki si muwape maharusi!!??
Kuchangisha michango kwa ajili ya sherehe ya harusi ni ujuha mkubwa sana sana.
 
Umesahau zawadi za kamati, huwa tunatoa mitaji maharusi washindwe wao kuendesha maisha..!!
Wiki mbili zilizopita nimetoka kwenye sherehe ya ndoa ya mfanyakazi wangu mmoja,eti zawadi ya kamati wamempa jokofu ilhali naye analo jokofu!!
 
Nimesahau aseeh so zile kamati za kutoa hundi fake, kumbe geresha 😂😂

Mkiingia ndani ya ndoa kitaumana!!
Zile sio fake ni michango ambayo inabaki baada ya hesabu zote zinazofanywa na kamati..!!

Inategemea na kamati ina pesa kiasi gani? Unakuta wanakamati wapo 1000 na wote kiwango cha chini laki, hapo kuna watakaoahidi laki 5 wengine million.!! Bado zile kadi za double na single, mnaweza kuwa na pesa nyingi sana, so mkitoa gharama za vyakula, vinywaji, ukumbi, location ya picha, music, mapambo nakujaza gari mafuta zinazokuwa kwenye msafara. Bado mnabakiwa na pesa nyingi..!!
 
Wiki mbili zilizopita nimetoka kwenye sherehe ya ndoa ya mfanyakazi wangu mmoja,eti zawadi ya kamati wamempa jokofu ilhali naye analo jokofu!!
Itakuwa kamati haina pesa 😹
Hivyo vitu sisi huwa tunawaachia marafiki wa bibi harusi ndio wanatoa zawadi km hizo, kamati wanatakiwa kukabidhi cash 💰
 
Acha hiyo ya harusi, Kuna mama huku anachangisha michango kwa ajili ya kufanyia arobaini ya mtoto wake aliefariki. Maisha yanaenda Kasi Sana.
 
Zile sio fake ni michango ambayo inabaki baada ya hesabu zote zinazofanywa na kamati..!!

Inategemea na kamati ina pesa kiasi gani? Unakuta wanakamati wapo 1000 na wote kiwango cha chini laki, hapo kuna watakaoahidi laki 5 wengine million.!! Bado zile kadi za double na single, mnaweza kuwa na pesa nyingi sana, so mkitoa gharama za vyakula, vinywaji, ukumbi, location ya picha, music, mapambo nakujaza gari mafuta zinazokuwa kwenye msafara. Bado mnabakiwa na pesa nyingi..!!
Wanakamati buku duuh 😂....

Ngoja niuze uduvi maake Hali yetu ni tete
 
Michango ya harusi nje ya family members ni FRAUD and I usually don't entertain such disgusting culture😎
Mimi huwa sichangii mtu yoyote anaetaka mchango wa harusi,siwezi mkamilishia furaha yake,
Muda ambao anapanga kuomba akusanye zake aalike watu kama sherehe ni watu,ila akifanya yake na familia yake pia ni sawa.
Unapanga budget ya harusi 23 million alafu 20 anataka apewe ,ni akili hii ama matope?
 
Acha hiyo ya harusi, Kuna mama huku anachangisha michango kwa ajili ya kufanyia arobaini ya mtoto wake aliefariki. Maisha yanaenda Kasi Sana.
Watu wamekua wajinga sana hasa wanao wachangia,mpaka ubarikio wanchangisha
 
Unakuta MC 7 milioni
Most of the money goes to contractors, si kwa maharusi😇
Mimi huwa sichangii mtu yoyote anaetaka mchango wa harusi,siwezi mkamilishia furaha yake,
Muda ambao anapanga kuomba akusanye zake aalike watu kama sherehe ni watu,ila akifanya yake na familia yake pia ni sawa.
Unapanga budget ya harusi 23 million alafu 20 anataka apewe ,ni akili hii ama matope?
Ni Scam iliyohalalishwa na jamii
 
Keng
Shida hamjui kitu na mnaharibu system mliyokuta wenzenu wanapita.

Uzuri ni kwamba kufikia 2030 kutakuwa hakuna KUPIGA DILI.Na kenge kama wewe mtakuja kulialia hapa JF kutaka mpewe miongozo.

Nyie mbulukenge kubalini hamjui mfundishwe,acheni tamaa na maisha ya showoff.
Hamjasema bado,mpk mseme

Kenge mamakobabako 😝😀
 
Sa tusipofanya harusi na kukesha na matarumbeta majirani watajuaje kama tumeolewa[emoji4].....

Mi ntaolewa lulu majizzo style.watu wachcahe pande zote mbili,vinywaji na catering ya watu 50 tu
Hata Kwa budget ya mil 3 unafanya mwenyewe Tena nyumbani.usiku mnene Kila mtu arudi kwao.ismeisha

Mipango mingi mume mwenyewe sina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom