Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

kua maskini ni kitu mbaya sana,

yaani kuchangia laki2 au laki5 mtu anaejiskia uchungu utadhani nini sijui,

huna mchango sema wazi huna, sio kuahidi kinafiki na kushauri mambo ambayo ni ni wazi ni mbinu ya kukwepa kuchangia harusi 🐒
Kwa hiyo kwa akili yako unaamini matajiri huwa wanazitoa tu hizo laki 5 wakiombwa za harusi ? Hakuna tajiri wa hivyo labda huko kwenu Sitimbi.

Masikini ndio wachangiaji wakubwa wa hizo sherehe.Sababu za Masikini kuwa wachangiaji (1)Kutarajia na wenyewe kuchangiwa hapo baadae (2)Kutarajia kuhudhuria sherehe ya harusi ili akanywe ,akale misosi na akajionyeshe. Masikini anachangia harusi sio kwa sababu anapenda maendeleo ya bwana/bibi harusi bali ili ajionyeshe na akale, akanywe kwenye hiyo sherehe na ndio maana bwana/bibi harusi utanuniwa miaka yote kama umechangiwa na hujaweka sherehe hata kama aliekuchangia yuko mbali.

Sababu zipo nyingi ila jua tu mambo ya sherehe ni mambo yako binafsi na ndugu zako na unakuwa unayapanga kufanya ukiwa na afya njema kabisa, hivyo tafuta hela zako ndio uweke sherehe na sio kuunga watu whatsap group bila ridhaa na kuanza kusumbuana kwa meseji.
 
Sa tusipofanya harusi na kukesha na matarumbeta majirani watajuaje kama tumeolewa😊.....

Mi ntaolewa lulu majizzo style.watu wachcahe pande zote mbili,vinywaji na catering ya watu 50 tu
Hata Kwa budget ya mil 3 unafanya mwenyewe Tena nyumbani.usiku mnene Kila mtu arudi kwao.ismeisha

Mipango mingi mume mwenyewe sina
Hapo mwishoni umenichekesha 😂😂😂😂
 
Kwa hiyo kwa akili yako unaamini matajiri huwa wanazitoa tu hizo laki 5 wakiombwa za harusi ? Hakuna tajiri wa hivyo labda huko kwenu Sitimbi.

Masikini ndio wachangiaji wakubwa wa hizo sherehe.Sababu za Masikini kuwa wachangiaji (1)Kutarajia na wenyewe kuchangiwa hapo baadae (2)Kutarajia kuhudhuria sherehe ya harusi ili akanywe ,akale misosi na akajionyeshe. Masikini anachangia harusi sio kwa sababu anapenda maendeleo ya bwana/bibi harusi bali ili ajionyeshe na akale, akanywe kwenye hiyo sherehe na ndio maana bwana/bibi harusi utanuniwa miaka yote kama umechangiwa na hujaweka sherehe hata kama aliekuchangia yuko mbali.

Sababu zipo nyingi ila jua tu mambo ya sherehe ni mambo yako binafsi na ndugu zako na unakuwa unayapanga kufanya ukiwa na afya njema kabisa, hivyo tafuta hela zako ndio uweke sherehe na sio kuunga watu whatsap group bila ridhaa na kuanza kusumbuana kwa meseji.
sio matajiri pekee gentleman, bali wenye moyo wa kujitolea wote hujitoa bila kujibakiza,

uchoyo ni umaskini na ubinafsi wa fedheha sana ambao siku zote huambatana na ugumu wa maisha wa kiwango kibaya sana.
Yaani hutoi mchango wa harusi, halafa bado maisha yako magumu kichizi dah na harusi inafanyika kifahari kweli!

Sherehe ni jambo la kijamii kama ulivyo sherehe ya msiba tu, Lazima watu waunganishe nguvu ya rasilimali na kujumuika pamoja katika kula na kunywa,

kinyume na hapo kuna ushirikina🐒
 
kuna jamaa mtaani alichangisha micha ngo ya harusi watu tukajua anaoa kweli…la haula mwisho wa siku kakimbia na pesa zote
 
sio matajiri pekee gentleman, bali wenye moyo wa kujitolea wote hujitoa bila kujibakiza,

uchoyo ni umaskini wa fedheha sana ambao siku zote huambatana na ugumu wa maisha wa kiwango kibaya sana.
Yaani hutoi mchango wa harusi, halafa bado maisha yako magumu kichizi dah na harusi inafanyika kifahari kweli!

Sherehe ni jambo la kijamii kama ulivyo sherehe ya msiba tu, Lazima watu waunganishe nguvu ya rasilimali na kujumuika pamoja katika kula na kunywa,

kinyume na hapo kuna ushirikina🐒
Mtu akipata msiba atatoa taarifa mara moja kama ni ofisini au group la classmate kuwa amefiwa. Lakini huwezi kukuta mtu aliefiwa ameunda group la whatsap akiomba rambi rambi ili kumsaidia kwenye msiba , ni nadra, lakini haimaanishi kuwa walioguswa hawatatoa rambi rambi kwa aliefiwa.

Sasa kama wewe unaoa/unaolewa kwa nini usitoe tu taarifa mara moja kwa wafanyakazi ,.marafiki ,classmate kuwa tarehe fulani unaoa , huku wewe kama wewe ukiwa umejipangia sherehe ya ukubwa fulani kutokana na kiasi ulichonacho bila ya michango ya walioguswa baada ya wewe kutoa taarifa. Kupanga kumwalika MC Gara B kwa kutegemea michango ya watu ndio hiyo unaanza kuunda whatsap group na kuanza kusumbua watu kwa michango .Hakuna mambo ya kijamii hapo bali huo sio ustaarabu. Mbona sherehe za mahafali, kipa imara, birthday zinafanyika kistaarabu kwa wahusika wenyewe kujiandaa na watu wao wa karibu. Kwa nini kwenye sherehe ya harusi uone inamhusu kila mmoja unaemjua?
 
Madogo mmekuja maofisini mnavuruga michongo kisa sifa za kijinga kama hizi.

Maisha yanahitaji adabu.Mnaiba sana mnashindwa kula na vipofu hao unaowaona wakongwe wameishi maisha hayo ya kula na vipofu bila tabu.

Mmekuja nyie kunguni mnavuruga utaratibu kisa MISIFA YA KIJINGA saivi dili zimekuwa ngumu.Mtaishi kwa tabu sana punguzeni ujuaji bladiful shwaini nyie🤔
Shida ni nini?
Wewe endelea kua na adabu mkuu

Wewe ukiwa na adabu inatosha
 
Mtu akipata msiba atatoa taarifa mara moja kama ni ofisini au group la classmate kuwa amefiwa. Lakini huwezi kukuta mtu aliefiwa ameunda group la whatsap akiomba rambi rambi ili kumsaidia kwenye msiba , ni nadra, lakini haimaanishi kuwa walioguswa hawatatoa rambi rambi kwa aliefiwa.

Sasa kama wewe unaoa/unaolewa kwa nini usitoe tu taarifa mara moja kwa wafanyakazi ,.marafiki ,classmate kuwa tarehe fulani unaoa , huku wewe kama wewe ukiwa umejipangia sherehe ya ukubwa fulani kutokana na kiasi ulichonacho bila ya michango ya walioguswa baada ya wewe kutoa taarifa. Kupanga kumwalika MC Gara B kwa kutegemea michango ya watu ndio hiyo unaanza kuunda whatsap group na kuanza kusumbua watu kwa michango .Hakuna mambo ya kijamii hapo bali huo sio ustaarabu. Mbona sherehe za mahafali, kipa imara, birthday zinafanyika kistaarabu kwa wahusika wenyewe kujiandaa na watu wao wa karibu. Kwa nini kwenye sherehe ya harusi uone inamhusu kila mmoja unaemjua?
ustaarabu ni kueleza wazi tu kwamba huna hela ya kuchangia kuliko kua mnafiki wa kuahidi kutoa halafu unarukaruka kama digidigi oh kesho, oh kuna mchongo nauskilizia n.k

uchoyo na ubinafsi ni dalili za wazi kabisa za kimaskini na ugumu wa maisha gentleman,
huna haja ya kusingizia usumbufu n.k

hata pamoja na hayo sherehe zinafanyika kwa michango ya watoaji kwa ufanisi mkubwa, huku wachoyo na wabinafsi wakishikwa na aibu,

kwani kutoa mchango wa laki2 au laki5 itakusitiri kwa kiasi gani umaskini wako gentleman? Yaani kiasi cha kawaida hivyo ndio unashupaza shingo ati ni usumbufu, dah!🐒
 
Back
Top Bottom