Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Tulichangishwa mwaka Jana ikatokea m27 kwenye group ndoa haikufungwa.
Lakini yangu Ili niuma sana
Lakini yangu Ili niuma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madogo mmekuja maofisini mnavuruga michongo kisa sifa za kijinga kama hizi.Inaelekea wazee wana njaa kali sana hawa 😃😃😃
Kupiga ukunga kwa kutoa elfu 30 au 50 ni laana 😀😀
Hawa ndio wale ofcn wamekaa muda mrefu,vijana wameajiriwa hivi karibuni wanawazidi maendeleo
Hua wabahili na wana visirani hawa
Yaaan mzee baada ya kukua ndo nimekuja gundua ishi maisha yako na siyo kumfurahisha mtu maake gharama zake ni nyingi mwisho wake ni aibu 😂huyo jamaa badala akang'oe watu meno yupo anajifanya na yeye MC😄😄😄
📌Kweli wajinga ndio waliwao!!!
😂😂Michango ya harusi nje ya family members ni FRAUD and I usually don't entertain such disgusting culture😎
Washamba sana wanafikiri nashindwa kuzaa randomly km ishu ni watoto? Lkn tunahitaji tuwe na watoto wa vinasaba vya baba mmoja na mama, plus maadiliMKILIPA HIZO HELA HAKIKISHENI MNAWAMILIKI MPAKA MIX THEIR NYASH!!!
📌WAO SI WANAJIUZA WANUNUAJI MUWATUMIE KWELIKWELI.WARARUENI HAO MALAYA🤗🤗🤗
📌📌Tunapiga MARUFUKU HIZI TABIA ZA KISHENZI NA KITAPELI.Nyie ndo wale msipopewa taarifa ya mwaliko wa mchango wa harusi mkaja kusikia unaemfahamu amefanya sherehe ya harusi mnaanza zile " oooh sijui jamaa alinionaje alihisi sitamchangia ndio maana hajaniambia" plus maneno kibao, mkipewa taarifa napo ndo mnakuja na maneno kibao kama hayo.
Mkuu kama unaweza kumchangia mtu mchangie tu kwa moyo mmoja, na kama hauna uwezo basi acha kwani si lazima. Acha wanaowiwa kufanya hivo wafanye hivo.
kua maskini ni kitu mbaya sana,Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Huu utaratibu mtu huna hata baiskeli alafu siku ya harusi mnaenda kukodi JEEP ndo iwe gari ya harusi🤣🤣🤣🤣Yaaan mzee baada ya kukua ndo nimekuja gundua ishi maisha yako na siyo kumfurahisha mtu maake gharama zake ni nyingi mwisho wake ni aibu 😂
Ndo utakuta mtu anataka expensive life ndo vijana wanapoteza utu kudate sjui ndo kulelewa na mishangazi wengine nasikia wanaume km mabinti kaazi kweli kweli 😂
Exactly my son!kuchangisha harusi nje ya family members hiyo ni irresponsible behavior, it amounts to a FRAUD, pia ni ni ushamba, how can you raise public funds for your simple personal obligation, this culture IS DISGUSTING
Na hii maada wanaotoa. sumu wanawakeHuu utaratibu mtu huna hata baiskeli alafu siku ya harusi mnaenda kukodi JEEP ndo iwe gari ya harusi🤣🤣🤣🤣
Ukimaliza harusi lazima ujitukane🤣🤣🤣🤣.Alafu wanakamati wala hutawaona🙌🙌🙌kukusaidia unakufa mwenyew kisabuni maninaaaa.
📌📌Vijana wanaaibika sana huku mitaani.
wewe ulikuwepo wanapoksbidhiwa au unaleta hapa habari za kwenye mitandao ya udaku.Kama humpendi utaona ni nyingi mbona mobeto katolewa 30m
Unasikia demu etyHuu utaratibu mtu huna hata baiskeli alafu siku ya harusi mnaenda kukodi JEEP ndo iwe gari ya harusi🤣🤣🤣🤣
Ukimaliza harusi lazima ujitukane🤣🤣🤣🤣.Alafu wanakamati wala hutawaona🙌🙌🙌kukusaidia unakufa mwenyew kisabuni maninaaaa.
📌📌Vijana wanaaibika sana huku mitaani.
Tdfuta hela usilalamike ehwewe ulikuwepo wanapoksbidhiwa au unaleta hapa habari za kwenye mitandao ya udaku.
Hivi mtu mwenye akili timamu unatoaje mil 30 kwa SCRAPER KAMA hiyo imebomolewa na wajinga wajinga na wahuni.Hivi kama sio ukosefu wa kujielewa na kujiheshimu ni nini???!!!!
HAO MBUZI WA HIVYO NI MASKINI,YAANI MASKINI AMBAO WANATEGEMEA MAHARI NDO IWAPANDISHE STATUS😄😄Na hii maada wanaotoa. sumu wanawake
Utasikia siolewi bila sherehe kisa aonekane alifanya kitu au kukomoana,
Ushenzii mtupu 😂 😂
Unafanya sherehe huna pakulala sii uduanzii huo 😂
Asante studio wanakarir maisha ya mjini TikTok......wewe ulikuwepo wanapoksbidhiwa au unaleta hapa habari za kwenye mitandao ya udaku.
Hivi mtu mwenye akili timamu unatoaje mil 30 kwa SCRAPER KAMA hiyo imebomolewa na wajinga wajinga na wahuni.Hivi kama sio ukosefu wa kujielewa na kujiheshimu ni nini???!!!!
📌HAO WAJINGA FILTER ZINAWAZUZUA😄😄😄KUTANA NA HIYO MISUKULE LIVE UTACHOKA MWENYEW🤝Asante studio wanakarir maisha ya mjini TikTok......
Mm namkubali gigy money tuu, wengine njaa zinawasumbua na bragging kibao
Mungu atusaidie😂😆Amka mpendwa lakini maharii yangu kutoa tuzidi kujuana utaja cheka ufe, 😂😂
Oyaah brother na uchagaa huu sitoi kitu ariiiifuu 😂HAO MBUZI WA HIVYO NI MASKINI,YAANI MASKINI AMBAO WANATEGEMEA MAHARI NDO IWAPANDISHE STATUS😄😄
📌📌HAO MALAYA WAKATAFUTE WAJINGAWAJINGA NDO WAWAAMBIE HUO UPUUZI MWANAUME ANAYEJIELEWA AKIKUONA UNAELEMENT ZA KIMALAYAMALAYA NI KUBUTUA NA KUJIKATAA!!!
Wakataeni hao masikini waambieni waache uswahili na utapeli.Huu ushenzi wa kuomba michango ya harusi umefika mpaka kwa wabongo wa Ulaya
Kwa vile tunakutana park jioni au pub wikiendi, unashangaa unapewa kadi ya kuchangia harusi, mtu mwenyewe hata hamjuani kivelee.....
Ni upumbavu wa akili kuomba watu hela ya kwenda kuoa, na kwanza ni aibu sana.....