Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Nataka kwenye hiko kikao Cha maharii niwepo niulizwe how much? Ndo baba mkwe ama mshenga atajua sina masihara

Million tatu..... maharii, hela zote hizo!! afu hapo tunaishi single room siwezi fanya hiko kitu
Kama humpendi utaona ni nyingi mbona mobeto katolewa 30m
 
Ana matatizo
Punguza hasira bwashee, kama unamuita mwenzio masikini mbona unadai michango?
Mke ni WA kwako au tukichanga utaruhusu aje atupiemo hata kimoja kwa mkeo?
huyu msamehe bruh

Maake anafkr ety kutoa michango ndo sio masikini

Na hajui kuwa sherehe za watu wa kipato Cha kawaida na chini ndo wana sherehe za ajabu ajabu!!

Huwez pangia hela ya mtu bajetii,

Nanukuu;: wazee wangu walinambia nikioa ni sherehe simple hata ya watu 50 ikizd mia na hakuna michango kuomba omba ..... Maake pia hakuna ulazima wa hayo yote zaidi ikiwa ni kujitia hasara, ama kuvurigwa kisa watu hawajatimiza ahadi zao
 
Nakubaliana na wewe! Ndoa za Makanisa ya FGBF-Ask.Kakobe ndiyo mfano wa ndoa zisizo na mambo mengi.
Bwana na Bibi harusi wakishafungishwa ndoa Kanisa kila mtu anaondoka na mkewe wanaenda kuanza maisha-haijalishi wanaondoka kwa miguu,au bodaboda au daladala hiyo siyo issue kwao.
Hakuna cha suti sijui shela sijui kulishana keki hakuna.
 
Mahari hutegemea hadhi ya mtu wako hadi wa elfu tano wengine hadi milioni 20 hadi 50

Katafute wa saizi yako mbona wako wengi tu wa bei hiyo

Usitarajie mtoto kasomeshwa acadeny International schools nk aje aolewe na wewe choka mbaya kwenu mumejaa kunguni na viroboto kwa mahari ya laki mbili

Mpuuzi katafute maskini wenzio size yako ukaoe huko kwa hizo laki mbili zako
Hadhi gani MIMBA KUSHIKA KWENYEWE KWA MBINDE, hadhi hanyi au hafi,pumbavu acheni umasikini.

Nyie mijitu myeusi mnahadhi ipi labda.Mtaendelea kuwadanganya wajingawajinga wenzenu.

📌📌📌Mmesoma kupata vyeti ila hamjaelimika wala kustaarabika.Hulka za kujitweza ni za MAFUKARA waliobahatika kunusa MKONDO wa MALI NA PESA ZA KUBADILISHA MBOGA.ILA WATU AMBAO WAPO KWENYE MKONDO WA UTAJIRI NA MALI HAWAWEZI KUTOA KAULI ZA KIFISADI KAMA HIZO ZAKO!!!!
 
Unakuta MC 7 milioni
Ndo imefanya kila mtu kwa sasa ni MC😀😀😀😀

MC wengine hata kuongea hawajui maskini wamo tu kulipia hela ili na yeye aonekane kaweka MC mwenye jina mjini.

📌📌📌UMASKINI NI LAAANAAAAA!!!!
 
Katolewa na nan?

Udangaji unalipa dearest! Unalijua Hilo

Nasemaje watoe wengine mm nitoe hata million moja navurugwa 😂

Hizo 29mio ni mtaji wa biashara tosha.....

Nawekeza kwa ajili ya wanangu! Aseh 👊
Acha niammke nitafute hela thamani ipande ya mahari
 
Hadhi gani MIMBA KUSHIKA KWENYEWE KWA MBINDE, hadhi hanyi au hafi,pumbavu acheni umasikini.

Nyie mijitu myeusi mnahadhi ipi labda.Mtaendelea kuwadanganya wajingawajinga wenzenu.

📌📌📌Mmesoma kupata vyeti ila hamjaelimika wala kustaarabika.Hulka za kujitweza ni za MAFUKARA waliobahatika kunusa MKONDO wa MALI NA PESA ZA KUBADILISHA MBOGA.ILA WATU AMBAO WAPO KWENYE MKONDO WA UTAJIRI NA MALI HAWAWEZI KUTOA KAULI ZA KIFISADI KAMA HIZO ZAKO!!!!
Bora umemjibu anadai kasoma academy

Ety wa kishua yaani Hawa dada zetu na baadhi ya wanaume uchwara wanaishi kwa kufuatilia celeb

Wakati wana maisha magumu kama mawe!

Maharii nshasema haizidi million piga ua....... Hataki asepe na huo muda atakuwa wapi mimba asipate ndo ataniambia kwann hashiki na we are sexing frequently

Ndo nitoe proposal dada huyu sijui jamaa anaona kutoa maharii nyingi ufahari

Mimi nikawafaidishe wazazi wake, wakati tunapaswa kujenga future ya wanetu na sisi wenyewe
 
Sio kesi kaoe wazungu.Uone mziki wake ruksa kwenda kaoe hata bure

Achana na watu weusi
📌📌📌NYIE MIJITU MYEUSI NI KUNGUNI KABISA YAFAA MUWE ETHINICAL ELIMINATED.HAPA DUNIANI NI MZIGO TU!!!
 
Bora umemjibu anadai kasoma academy

Ety wa kishua yaani Hawa dada zetu na baadhi ya wanaume uchwara wanaishi kwa kufuatilia celeb

Wakati wana maisha magumu kama mawe!

Maharii nshasema haizidi million piga ua....... Hataki asepe na huo muda atakuwa wapi mimba asipate ndo ataniambia kwann hashiki na we are sexing frequently

Ndo nitoe proposal dada huyu sijui jamaa anaona kutoa maharii nyingi ufahari

Mimi nikawafaidishe wazazi wake, wakati tunapaswa kujenga future ya wanetu na sisi wenyewe
MKILIPA HIZO HELA HAKIKISHENI MNAWAMILIKI MPAKA MIX THEIR NYASH!!!

📌WAO SI WANAJIUZA WANUNUAJI MUWATUMIE KWELIKWELI.WARARUENI HAO MALAYA🤗🤗🤗
 
Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Nyie ndo wale msipopewa taarifa ya mwaliko wa mchango wa harusi mkaja kusikia unaemfahamu amefanya sherehe ya harusi mnaanza zile " oooh sijui jamaa alinionaje alihisi sitamchangia ndio maana hajaniambia" plus maneno kibao, mkipewa taarifa napo ndo mnakuja na maneno kibao kama hayo.

Mkuu kama unaweza kumchangia mtu mchangie tu kwa moyo mmoja, na kama hauna uwezo basi acha kwani si lazima. Acha wanaowiwa kufanya hivo wafanye hivo.
 
Back
Top Bottom