pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Hao wote watakuwa jamaa wa bwana asifiwe maana hawana jambo dogo.Na kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wote watakuwa jamaa wa bwana asifiwe maana hawana jambo dogo.Na kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Ukifanya hvyo utadumu kwenye ndoa maana ndoa zote zilizorushwa live na AZAM media zote chalii naanza na ya alikiba na mdogo mnakaribisha husda tu.Sa tusipofanya harusi na kukesha na matarumbeta majirani watajuaje kama tumeolewa[emoji4].....
Mi ntaolewa lulu majizzo style.watu wachcahe pande zote mbili,vinywaji na catering ya watu 50 tu
Hata Kwa budget ya mil 3 unafanya mwenyewe Tena nyumbani.usiku mnene Kila mtu arudi kwao.ismeisha
Mipango mingi mume mwenyewe sina
Thank u for the offer🤣Mume niko hapa my dear
unataka kuolewa mwaka huu au mwakani?
Ukweli mtupu.Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Kwahiyo kusomeshwa academy mm ndo nilipe ada zake ?Mahari hutegemea hadhi ya mtu wako hadi wa elfu tano wengine hadi milioni 20 hadi 50
Katafute wa saizi yako mbona wako wengi tu wa bei hiyo
Usitarajie mtoto kasomeshwa acadeny International schools nk aje aolewe na wewe choka mbaya kwenu mumejaa kunguni na viroboto kwa mahari ya laki mbili
Mpuuzi katafute maskini wenzio size yako ukaoe huko kwa hizo laki mbili zako
Nasemaje maharii yangu ni kutoka tzs100-1,000,000 haizidi hapo!! sinunui mtu Mimi 😂😂Au huna hela😭😂😂
Ila mbona hio 1m ni kidogoNasemaje maharii yangu ni kutoka tzs100-1,000,000 haizidi hapo!! sinunui mtu Mimi 😂😂
Kidogo... ?? Bas mtaendelea kuzalishwa mbaki single maza.... Mkitaka maharii kubwaIla mbona hio 1m ni kidogo
wakalime utapeli sio kazi!!!Uko sahihi,
Lakini uchumi wa masherehe utakufa,
Waongoza sherehe, wapishi, watu wa mapambo, wapiga picha nk watakosa sana hela.
HILI NALO MPAKA TRUMP ALISEME.kuchangisha harusi nje ya family members hiyo ni irresponsible behavior, it amounts to a FRAUD, pia ni ni ushamba, how can you raise public funds for your simple personal obligation, this culture IS DISGUSTING
ndio point zao kujustify ujingaujinga!!!😀 kila upuuzi unao create jobs ni justified?
ungemjibu kujisikia kwake sio kipaumbele chako🤗Kweli tupo hivo mkuu, kuna siku nikamwambia dada kuwa kwani haiwezekani kutofanya sherehe ya harusi ndoa iishie kanisani? akajibu inawezekana, lakini mkeo atajisikiaje bila sherehe? nikaona shida hapa
Sherehe ni successful life ya ndoa, si mbembe za wakandarasi wa harusi (Mc, suppliers etc)Kweli tupo hivo mkuu, kuna siku nikamwambia dada kuwa kwani haiwezekani kutofanya sherehe ya harusi ndoa iishie kanisani? akajibu inawezekana, lakini mkeo atajisikiaje bila sherehe? nikaona shida hapa
Mnakaza mnoKidogo... ?? Bas mtaendelea kuzalishwa mbaki single maza.... Mkitaka maharii kubwa
🤣🤣Mnakaza mno
Punguza hasira bwashee, kama unamuita mwenzio masikini mbona unadai michango?Ukiwa maskini wa hela ,maskini wa mahusiano na ndugu,marafiki majirani nk.lazima uwe na vimisimamo vya kijinga kama huu ulioandika
Kwenye harusi kambambie bibi harusi kupunguza machungu ya mchangoStarehe wakapate wao, michango tuwachangie sisi; hii haikubaliki