Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Kuomba mchango wa harusi ni matusi makubwa

Na kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Hao wote watakuwa jamaa wa bwana asifiwe maana hawana jambo dogo.
 
Sa tusipofanya harusi na kukesha na matarumbeta majirani watajuaje kama tumeolewa[emoji4].....

Mi ntaolewa lulu majizzo style.watu wachcahe pande zote mbili,vinywaji na catering ya watu 50 tu
Hata Kwa budget ya mil 3 unafanya mwenyewe Tena nyumbani.usiku mnene Kila mtu arudi kwao.ismeisha

Mipango mingi mume mwenyewe sina
Ukifanya hvyo utadumu kwenye ndoa maana ndoa zote zilizorushwa live na AZAM media zote chalii naanza na ya alikiba na mdogo mnakaribisha husda tu.
 
Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Ukweli mtupu.
 
Mahari hutegemea hadhi ya mtu wako hadi wa elfu tano wengine hadi milioni 20 hadi 50

Katafute wa saizi yako mbona wako wengi tu wa bei hiyo

Usitarajie mtoto kasomeshwa acadeny International schools nk aje aolewe na wewe choka mbaya kwenu mumejaa kunguni na viroboto kwa mahari ya laki mbili

Mpuuzi katafute maskini wenzio size yako ukaoe huko kwa hizo laki mbili zako
Kwahiyo kusomeshwa academy mm ndo nilipe ada zake ?

Ana kitu gani Cha maharii ya million ishirini mbona kama umetokwa na povu sana! Ndugu
 
KWANZA KABISA WOTE WANAOOA BILA KUJIPANGA WAKITEGEMEA MICHANGO YA WATU WENGINE,HAWA NI FAILURES KABLA YA YOTE.

HIZI NG'OMBE ZIMESHAFELI KABLA YA KUANZA.HAIINGII AKILINI NI VIPI UNAOANGA UFANYE HARUSI YA MILLIONI ZAIDI YA KUMI NA HUNA HATA MILLION 5.

📌📌📌MCHANGISHAJI NA WANAOKUCHANGIA HAMNA AKILI.NYIE WOTE NI WAJINGA NA WAPUMBAVU KABISA.

📌MIMI HUWA SICHANGII HUO UPUMBAVU NA MIKUSANYIKO YA KIJINGA NA KIPUMBAVU SISHIRIKI🤝
 
kuchangisha harusi nje ya family members hiyo ni irresponsible behavior, it amounts to a FRAUD, pia ni ni ushamba, how can you raise public funds for your simple personal obligation, this culture IS DISGUSTING
HILI NALO MPAKA TRUMP ALISEME.

MIAFRICA PARTICULA MITANZANIA NI MIZOMBI PUMBAVU KABISA NA HII TABIA IMEKUWA NA KUMEA MPAKA IMEHALALISHWA NA WAJINGAWAJINGA IMEKUWA TAMADUNI SASA.

📌YOTE HII NI KWAKUA KILA MJINGA MWENYE VIJISENT VIWILI VITATU SIKU IZI ANAHAKI YA KUZUNGUMZA NA KUTOA MAONI.HII INAPELEKEA WAJINGA WAMEUNGANA NA KUTENGENEZA ALLIANCE KUBWA NA SASA MAMBO YOTE KWENYE JAMII YANAJIENDEA SHAGALABAGALA.
 
Kweli tupo hivo mkuu, kuna siku nikamwambia dada kuwa kwani haiwezekani kutofanya sherehe ya harusi ndoa iishie kanisani? akajibu inawezekana, lakini mkeo atajisikiaje bila sherehe? nikaona shida hapa
ungemjibu kujisikia kwake sio kipaumbele chako🤗
 
Kweli tupo hivo mkuu, kuna siku nikamwambia dada kuwa kwani haiwezekani kutofanya sherehe ya harusi ndoa iishie kanisani? akajibu inawezekana, lakini mkeo atajisikiaje bila sherehe? nikaona shida hapa
Sherehe ni successful life ya ndoa, si mbembe za wakandarasi wa harusi (Mc, suppliers etc)
 
Ukiwa maskini wa hela ,maskini wa mahusiano na ndugu,marafiki majirani nk.lazima uwe na vimisimamo vya kijinga kama huu ulioandika
Punguza hasira bwashee, kama unamuita mwenzio masikini mbona unadai michango?
Mke ni WA kwako au tukichanga utaruhusu aje atupiemo hata kimoja kwa mkeo?
 
Back
Top Bottom