Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Umetaharuki mkuu.Usilie lie sasa,baki na hio pesa yako ule na familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetaharuki mkuu.Usilie lie sasa,baki na hio pesa yako ule na familia
huo si utamaduni wa wa TANZANIA, ni hassling tu za wakandarasi wa harusi na sherehe mbalimbaliNdio utamaduni wetu Watanzania, kusapotiana kunapokua na jambo la kijamii
Nyie ambao fikra zenu zipo advanced nendeni ulaya mkaishi na wazungu huko
Nyie ndio wale wazee mliosoma sana lakini mmepauka,hua mna hasira na chuki kwa vijana nyie😀
Katafuteni jamii yenu mkaishi nayo kwa hizo akili mlizinazo
Hapa Tz tutaenda na utamaduni huu huu
Kudadeki
Na ukachanga yoteNa kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Inaelekea wazee wana njaa kali sana hawa 😃😃😃Kabisa
Mtu kama huyo ndio unamkuta kundi lile la hata akiwa na shida akihitaji hata elfu 5 tu aweza zunguka mtaa mzima kijiji kixima kwa ndugu wote na majirani na marafiki hakuna wa kumpa sababu yeye sio mtu wa watu kwenye kuchangia .Hela yake haitoki na wao hawatoi .Watamwambia sina wakati wanazo kibao
Unataka kutoa TU dowry upewe mkeNdiyo Mimi sina mpango wa sherehe kubwa wala kutoa kadi za michango
Tuwaachiaje wakati hawaishi kutusumbua ni mikadi yao, mara message, mara wanakuunga tu kwenye magrup yao, mara tunanuniana ofisini.
Tunawakazia kama Trump ili mjifunze kujitegemea.Wehu ninyi.Inaelekea wazee wana njaa kali sana hawa 😃😃😃
Kupiga ukunga kwa kutoa elfu 30 au 50 ni laana 😀😀
Hawa ndio wale ofcn wamekaa muda mrefu,vijana wameajiriwa hivi karibuni wanawazidi maendeleo
Hua wabahili na wana visirani hawa
Unapiga kiingereza alafu kulia mitandaoni kwa ajili ya elfu 30 au 50 ni fedhehaUmetaharuki mkuu.
Upo very "simati" muheshimiwa.Tuwaachiaje wakati hawaishi kutusumbua ni mikadi yao, mara message, mara wanakuunga tu kwenye magrup yao, mara tunanuniana ofisini.
Binafsi nishawatangazia wote wanaoniletea kadi kwamba naomba mwaliko wa harusi na sio kuchangia. Hutaki niache nitaalikwa na wasiochangisha kama ambavyo mimi sijui mchango wa mtu
Tunawafundisha namna ya kujisimamia mambo yenu mnatuona tuna roho mubaya?Hebu shitukeni vijana.Unapiga kiingereza alafu kulia mitandaoni kwa ajili ya elfu 30 au 50 ni fedheha
Doto magari ataendelea kudharau wasomi kila kukicha
Yani unamkazia mtu kwa elfu 20 au 30 yako?😀😀Tunawakazia kama Trump ili mjifunze kujitegemea.Wehu ninyi.
Endelea kujitafuta sana bado una safari ndefuTunawafundisha namna ya kujisimamia mambo yenu mnatuona tuna roho mubaya?Hebu shitukeni vijana.
Huli hata gwala langu.Tafuta zako mkuu.Yani unamkazia mtu kwa elfu 20 au 30 yako?😀😀
Akili za kipunguani hizi
Bado unajitafuta sana Mzee,pambana sana 😀
Sawa Baba....Naona umeiva uchumi kama Trump,Ni ukwl mtupu ambao unahitaji jicho la Mbali kuelewaJumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Umasikini ni mbayaaaaaHuli hata gwala langu.Tafuta zako mkuu.
Acha ubahili toa mchango hioNa kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Umasikini ni mbayaaaaa
In Diamond voice
Mnataka michango kwani ninyi ni vilema wa miili na akili?Acheni uzembe wenu huo.Acha ubahili toa mchango hio
Acha akili za kifukara toa mchango huoMnataka michango kwani ninyi ni vilema wa miili na akili?Acheni uzembe wenu huo.
Sitoi vibaka ninyi.Kwanza saa hizi napiga komoni zangu baa.Saaafiii.Acha akili za kifukara toa mchango huo
Toa mchango bro,ma bro mnalia kisa mchango 😝😝😝Sitoi vibaka ninyi.Kwanza saa hizi napiga komoni zangu baa.Saaafiii.