Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Naelewa chifu📌HAO WAJINGA FILTER ZINAWAZUZUA😄😄😄KUTANA NA HIYO MISUKULE LIVE UTACHOKA MWENYEW🤝
Ahh gigy anaongea ukweli mtupu aani
Anakwambia ndoa haiwez 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa chifu📌HAO WAJINGA FILTER ZINAWAZUZUA😄😄😄KUTANA NA HIYO MISUKULE LIVE UTACHOKA MWENYEW🤝
HAO MALAYA UNABUTUA UNAPITA HIVI🤝Oyaah brother na uchagaa huu sitoi kitu ariiiifuu 😂
Mtu sio bikra, keshapigwa finga side zote afu ety unajua huna hela Mara nimesoma academy
Ko aliambiwa i will come to refund her school fees paid during her school time au matunzo
Akadange tuu tununue tujue 😂
Kwangu Mimi aseeh sahauni kutoa maharii kubwa huku sijawajengea wazazi wangu buloku 😝😂Mungu atusaidie😂😆
yule ni certified HOE GRADE 1🙌🙌Naelewa chifu
Ahh gigy anaongea ukweli mtupu aani
Anakwambia ndoa haiwez 😂😂
Waseme wako soko na sio kutumia kigeZo Cha ndoa kutafuta staraHAO MALAYA UNABUTUA UNAPITA HIVI🤝
😂😂😂😝yule ni certified HOE GRADE 1🙌🙌
ANACHEZA MIGUU YOTE🙌🙌🙌
ANAEXPERIENCE TANGU MDOGO NA KASHENYENTWA MBAYA MBOVU MPAKA NA HAO MACELEB WA BONGO WAMEPONEA NA WANAENDELEA KUPONA HAPO🤝
We mchaga mfuko wako una macho 😂😂😂Kwangu Mimi aseeh sahauni kutoa maharii kubwa huku sijawajengea wazazi wangu buloku 😝😂
Nina hela ila sina hela za kuchezea na kuchangia kwenye mikusanyiko ya MASIKINI wajingawajinga.Tdfuta hela usilalamike eh
Hailiwiii na ikiliwa ujiandae kupigwa kizinga au uwe fursa 😂😂We mchaga mfuko wako una macho 😂😂😂
Kula Hela ya mchagga ni shida
Naomba aftatuHailiwiii na ikiliwa ujiandae kupigwa kizinga au uwe fursa 😂😂
Aftatu kivip sasa wakati sijala 😂😂Naomba aftatu
😹😹😹😹
Jinyime nipate Mimi😆Aftatu kivip sasa wakati sijala 😂😂
Mwisho wa siku unitukane ubwege, na genye ndo zilikufanya ukanipa kwani nilikulazimisha 😂😂Jinyime nipate Mimi😆
I promise to behave at the end 😂🙏Mwisho wa siku unitukane ubwege, na genye ndo zilikufanya ukanipa kwani nilikulazimisha 😂😂
Sasa mbona ndo nilikua nachapisha kadi za Sendoff 🙆🏻♀️Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Aseeh .... 😂😂 Ngoja nimwite @MshambaHachekwiI promise to behave at the end 😂🙏