Kuomba msamaha na kukubali kosa ni janga kwa wadada wengi

Kuomba msamaha na kukubali kosa ni janga kwa wadada wengi

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Akijitahidi sana kuomba msamaha utasikia
"Sawa basi nimekosa"
"Aya basi nisamehe" hapo ni baada ya kumbana kona zote na ameona hamna pa ku excuse.

Kwanini? Kwanini inakua shida kukubali kukosea na kuomba msamaha genuinely?
 
Au utasikia " basi tufanye yameisha"
Hapo anataka kugukia msizungumzie source ya tatizo. Jambo ambalo lizipokua address mara nyingi hilo suala hujirudia mbeleni
 
Asante Mungu kwa kunibariki mke mwenye upendo, utii na mcha Mungu....😊
Nafikiri tumedumu kwasababu ni mwepesi wa kuomba msamaha mara tu anapo gundua amejikwaa mahali...🤗
Na sisi wanaume hata uwe mkali kama simba, pindi tu mke ama mpenzi anapo omba radhi hua tunaishiwa ujanja na kujikuta tunasamehe kabisa.
 
Akijitahidi sana kuomba msamaha utasikia
"Sawa basi nimekosa"
"Aya basi nisamehe" hapo ni baada ya kumbana kona zote na ameona hamna pa ku excuse.

Kwanini? Kwanini inakua shida kukubali kukosea na kuomba msamaha genuinely?
Kuna mmoja tunasumbuana aisee. Miez iliyopita nilitembelea mkoa aliopo taarifa nilimpa ajabu akajibu hatutaonana, nikawa ndani ya mkoa aliopo kwa mwezi mzima sasa ikawa nabembeleza kupata utelezi akawa kaweka ngumu. Ok nikarudi zangu mkoa wangu miez ikaenda nikarudi tena mkoa aliopo akagoma tena ile ile. Nikasema kuna mwamba anakamua isiwe shida. Masiku yakaenda kiasi chake duh katikati hapo ananitafuta eti amepata matatizo nikamjulie hali nk kiurahisi tu yaani. Niliwaza nikachomoa mazima, rafiki yake akabembeleza wee ila nikamwambia kinagaubaha akaelewa na akamchana mwenzie. Sahivi nimekaa tu kimyaaaaa
 
Mimi kama kweli nimefanya kosa ninaomba msamaha tena hadi chozi.
Ila sio mimi naona nipo sahihi wewe unaona ni kosa halafu niombe msamaha. Siombi ng’oo tena na kukununia nakununia.
Anza kujifunza kutokutoa machozi wakati wa kuomba msamaha, maana sisi wanaume tunapenda mwanamke mpole, mnyenyekevu na anaetoa strong reasons wakati akiomba msamaha.
Wanaume wengi tunaamini wanawake huyatumia machozi yao kama silaha ili wahurumiwe.
 
Anza kujifunza kutokutoa machozi wakati wa kuomba msamaha, maana sisi wanaume tunapenda mwanamke mpole, mnyenyekevu na anaetoa strong reasons wakati akiomba msamaha.
Wanaume wengi tunaamini wanawake huyatumia machozi yao kama silaha ili wahurumiwe.

Mungu ni mwema silaha ya machozi inafanya vizuri sana kwa mume wangu yaani nikianza kuyatiririsha tu utasikia “basi beb usilie yameisha”
 
Jamii yetu haijalelewa kuwa accountable, tatizo lilianzia hapa. Mojawapo ya nguzo za accountability ni ku apologize. Hili ni tatizo la kijamii.

Kwahiyo: tunakutana nalo kwenye mahusiano, familia, siasa, makazini na kwingineko. Ulishawahi ona Kwenye daladala mtu amemkanyaga mwenzie na hataki kusema samahani hadi unazuka ugomvi mkubwa? Kuna maneno ya kijinga tunaishi nayo, oh mara mzazi hakosei, sijui kiongozi hakosei na blah blah zingine.

Hili sio suala la wanawake pekee, sasa sijajua sisi wanawake ambao hatuombi msamaha tutaleaje watoto ambao tunapaswa kuwafundisha kuomba msamaha, A question for another day.
 
Mwananmke ana kitu kikubwa zaidi , hapaswi kuomba msamaha. hata kama wewe unapesa, lakini bado yeye ana kitu kikubwa zaidi.
 
Jamii yetu haijalelewa kuwa accountable, tatizo lilianzia hapa. Mojawapo ya nguzo za accountability ni ku apologize. Hili ni tatizo la kijamii.

Kwahiyo: tunakutana nalo kwenye mahusiano, familia, siasa, makazini na kwingineko. Ulishawahi ona Kwenye daladala mtu amemkanyaga mwenzie na hataki kusema samahani hadi unazuka ugomvi mkubwa? Kuna maneno ya kijinga tunaishi nayo, oh mara mzazi hakosei, sijui kiongozi hakosei na blah blah zingine.

Hili sio suala la wanawake pekee, sasa sijajua sisi wanawake ambao hatuombi msamaha tutaleaje watoto ambao tunapaswa kuwafundisha kuomba msamaha, A question for another day.
Jirani, minafikiri niwakati sahihi sasa kuanza kuwafundisha watoto wetu namna ya kuanza kua accountable, na hii itawafanya kua loyal and honest by themselves
 
Mwanamke akikukosea na akigundua lazima akuombe msamaha kwa kukufungulia mapaja yake na siyo vinginevyo.

Kumlazimisha akuombe kwa maneno ni dalili za kitoto.
 
Jamii yetu haijalelewa kuwa accountable, tatizo lilianzia hapa. Mojawapo ya nguzo za accountability ni ku apologize. Hili ni tatizo la kijamii.

Kwahiyo: tunakutana nalo kwenye mahusiano, familia, siasa, makazini na kwingineko. Ulishawahi ona Kwenye daladala mtu amemkanyaga mwenzie na hataki kusema samahani hadi unazuka ugomvi mkubwa? Kuna maneno ya kijinga tunaishi nayo, oh mara mzazi hakosei, sijui kiongozi hakosei na blah blah zingine.

Hili sio suala la wanawake pekee, sasa sijajua sisi wanawake ambao hatuombi msamaha tutaleaje watoto ambao tunapaswa kuwafundisha kuomba msamaha, A question for another day.
Umenen vyema, accountability ni zero kabisa.
 
Back
Top Bottom