Asingehusisha CPA kilichoongelewa hapo ni udhalilishaji CPA tunaiomba Bodi ya NBAA sajili CPA zote ichukue hatua hayo mambo ya sijui business model aende kujieleza NBAA wenye CPA Yao aliyodhalilisha mitandaoni
CPA holders kibao hawana ajira ya kupata hata laki 3.
wana njaa kalii.
now days. CPA bila experience ya Big four.. kazi nzuri utaziona kwa wenzako tu. Tatizo pia hizo big four haziajiri CPA holders.. zinaajiri watoto best students hasa wa engineering ama acturial science kisha wanaenda msomesha ACCA ofisini.. akimaliza anapiga pepa chache anapata na CPA.. hao ndio wanashika vitengo.. CPA holders ambao hawajapita big four wanakula kwa macho.. wameoga lakini mjini hawaendi
big four zinataka mtu aliyesoma Advance Mathematics na kupata A ama B kwenye ACSEE. maana huyo mtu atakuwa makini na attention to details kwenye kazi zao. CPA watampatia wenyewe kazini kwa mbinu ya kupitia ACCA kwanza
mtu yeyote aliyesoma PHYSICS NA ADVANCE MATHEMATICS A LEVEL NA KUPATA A ama B. CPA ama ACCA anaipata kwa single sitting tu
Asingehusisha CPA kilichoongelewa hapo ni udhalilishaji CPA tunaiomba Bodi ya NBAA sajili CPA zote ichukue hatua hayo mambo ya sijui business model aende kujieleza NBAA wenye CPA Yao aliyodhalilisha mitandaoni