Kuona Engagement ya Manara DStv ni Tsh 10,000

Kuona Engagement ya Manara DStv ni Tsh 10,000

Juha kabisa, ila mbona atapata wajinga!
Hata sielewi Yanga walifikiria nini kumpa ajira huyu mwehu?!
🤬😠😡😤👺💢
 
Hio teni Bora kusaidia wasio jiweza
pumbavu kabisa
ngoja huyo bwege siku aibiwe huyo mshenzi mwenzie,watajua hawahui.
 
Manara psychological problem
Ana inferiority complex hajiamini vile alivyo ana shida mahala itakua utotoni alipitia zile Enzi zetu ukiwa vile unaonekana abnormal Sasa hv ndo anataka kuwaprovs watu wrong
Anayoyafanya kwa umri wake,dini yake, na maisha yake haviendani kabisaaaa
Mimi wanaomfatilia nadhani nao pia wagonjwa
Mungu anisamehe ila mimi nawaza mbali zaidi na ule mdomo (sio kny kuongea wala kula)
 
Yaani nitoe 10000 kabisa kumwangalia huyo mwehu huyo.
Si bora nimpatie nauli matonya mmoja aliyefukuzwa na chalamila
Mtoa mada ameover do. Haiko hivyo.

Kwanza hiyo channel 144 sidhani kama watu wanaendaga. Na pia ni kama tu wewe uwe na event yako ukaombe na kulipa Azam two ili wairushe hewani.
 
Mungu anisamehe ila mimi nawaza mbali zaidi na ule mdomo (sio kny kuongea wala kula)
[emoji1787][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]acha TU ndo maana anafosi Sanaa vitu Mzee wa miama hamsini anafanya ujinga MWINGI km gigy money
 
Mtoa mada ameover do. Haiko hivyo.

Kwanza hiyo channel 144 sidhani kama watu wanaendaga. Na pia ni kama tu wewe uwe na event yako ukaombe na kulipa Azam two ili wairushe hewani.
Anhaaaaaaa....[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji120]
 
Back
Top Bottom