Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Na huyu si kiongozi WA CCM huyu? Na akili ndio hizoCCM itatawala mpaka yenyewe iseme basi Kwa Aina ya RAIA iliyonao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyu si kiongozi WA CCM huyu? Na akili ndio hizoCCM itatawala mpaka yenyewe iseme basi Kwa Aina ya RAIA iliyonao.
CCM alitapeli Kule wakamtowa, nafasi yake sasa hivi ndio amepewa Bananga.Na huyu si kiongozi WA CCM huyu? Na akili ndio hizo
Mungu anisamehe ila mimi nawaza mbali zaidi na ule mdomo (sio kny kuongea wala kula)Manara psychological problem
Ana inferiority complex hajiamini vile alivyo ana shida mahala itakua utotoni alipitia zile Enzi zetu ukiwa vile unaonekana abnormal Sasa hv ndo anataka kuwaprovs watu wrong
Anayoyafanya kwa umri wake,dini yake, na maisha yake haviendani kabisaaaa
Mimi wanaomfatilia nadhani nao pia wagonjwa
Na anawapiga wajinga na wapumbavu.Kinachouma ni ule ukweli kuwa jamaa anapiga pesa hivihivi kijinga,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiMungu anisamehe ila mimi nawaza mbali zaidi na ule mdomo (sio kny kuongea wala kula)
🤣🤣🤣🤣Pumbavu kabisa. Hiyo 10k si bora nikaitupa jalalani
Walahi kuna wanawake wana mioyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii
Ha ha ha Daslamu ina watu wengi kweli huwezi kuwajua wote na vibweka vyaoNdio kina nani hao huko Daslamu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na Yale meno yalivyo. WoiiiihWalahi kuna wanawake wana mioyo
Ndo wabongo twapenda mambo hayooKinachouma ni ule ukweli kuwa jamaa anapiga pesa hivihivi kijinga,
[emoji1787][emoji125][emoji125]Ficha uchumba, ficha ndoa ,ficha mke/mume huyo ni wako peke yako
Ukituringishia tunapita nae kama kipanga
Mtoa mada ameover do. Haiko hivyo.Yaani nitoe 10000 kabisa kumwangalia huyo mwehu huyo.
Si bora nimpatie nauli matonya mmoja aliyefukuzwa na chalamila
[emoji1787][emoji2][emoji3][emoji3][emoji3]acha TU ndo maana anafosi Sanaa vitu Mzee wa miama hamsini anafanya ujinga MWINGI km gigy moneyMungu anisamehe ila mimi nawaza mbali zaidi na ule mdomo (sio kny kuongea wala kula)
Njaa mbaya sana ujue na uspoon town!!!!Walahi kuna wanawake wana mioyo
Anhaaaaaaa....[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji120]Mtoa mada ameover do. Haiko hivyo.
Kwanza hiyo channel 144 sidhani kama watu wanaendaga. Na pia ni kama tu wewe uwe na event yako ukaombe na kulipa Azam two ili wairushe hewani.
Mwenye dstv yeyote huo mchanel upo tu, ni kama ambavyo iko TBC/ ITVNa kuna mtu atalipa kweli??
Hahahahaahahahaha KAZI ipoCCM alitapeli Kule wakamtowa, nafasi yake sasa hivi ndio amepewa Bananga.