Kuondoka kwa Ally Kamwe kwahusishwa na mambo ya ushirikina mkubwa sana ulioanza kutokea ndani ya idara hivi karibuni

Kuondoka kwa Ally Kamwe kwahusishwa na mambo ya ushirikina mkubwa sana ulioanza kutokea ndani ya idara hivi karibuni

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hizi tetesi tu, inasemekana mauza uza yamekuwa mengi ndani ya club siku chache zilizopita. Njiwa wamekuwa wakionekana ndani ya ofisi ya idara japo madirisha na milango imefungwa. Bundi, na wakati mwingine kuku imechinjwa halafu inakutwa ndani ya meza ya Ally pamoja na madawa ya kishirikina
 
GTmp1tFWQAAwvyA.jpeg
 
Hii inaonekana ni Kiki tu, maana dogo kaandika Muda wake umetamatika maana yake mkataba umefikia ukomo kwahiyo ata Renew mkataba.

Alafu cha kujiuliza kwanini atangaze mara baada ya Yanga kushinda hiyo mechi?

Jamaa wanatafta namna ya kuikikisha hii wiki ya Mwananchi tu, utasikia kasaini mkataba katikati ya wiki
 
manara si ana degree ya propaganda alisomea china
 
Back
Top Bottom