Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Simba SC upo piaBasi jikite kwenye wa Yanga, sio wa dunia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba SC upo piaBasi jikite kwenye wa Yanga, sio wa dunia nzima
🤣🤣🤣🤣🤣manara si ana degree ya propaganda alisomea china
Daaaahh!!! Bora akimbie, maana sijui hata kama ana mtoto wa kuacha kumbukumbu, yule mzee hana kazi, na kajipanga afie Yanga.Wakati mwingine hakuna cha ushirikina Wala nn rejea mahubiri ya Mchungaji Hananja alivyokuwa akitoa ushuhuda juu ya kiwanja cha jirani yake kutaka kukinunua ambapo jirani yake alikuwa hataki kumuuzia alianza kumfanyia fitina za kichawi mara achinje kuku mara kuku apakwe rangi,mwisho wa siku jamaa Alikubali yaishe.Ali Komwe angekomaa tuu,na sio kukimbia
Mauzauza au ni daydreams tu?🤣🤣🤣🤣Mifugo inaingia ndani bila kupita mlangoni wala dirishani
Umenaswa tena kama mlivyonaswa kwa Aziz KHizi tetesi tu, inasemekana mauza uza yamekuwa mengi ndani ya club siku chache zilizopita. Njiwa wamekuwa wakionekana ndani ya ofisi ya idara japo madirisha na milango imefungwa. Bundi, na wakati mwingine kuku imechinjwa halafu inakutwa ndani ya meza ya Ally pamoja na madawa ya kishirikina
HanaKwa kweli siezi kujua km anayo au hana, sifuatilii maisha ya mtu, ila najua hizo nafasi za usemaje zinahitaji Elimu gani
Uko sahihiHii inaonekana ni Kiki tu, maana dogo kaandika Muda wake umetamatika maana yake mkataba umefikia ukomo kwahiyo ata Renew mkataba.
Alafu cha kujiuliza kwanini atangaze mara baada ya Yanga kushinda hiyo mechi?
Jamaa wanatafta namna ya kuikikisha hii wiki ya Mwananchi tu, utasikia kasaini mkataba katikati ya wiki
Hahahahaha, hakupita DSJ kweli huyo ? au ndio janja janja ya mjini?Hana
HahahahahaNi wajanja wa mjini kama Kitenge wanaojua kuuza maneno na fitna Kiswahili
FaizaFoxy
Wenzake sisi tunakula hizo, na nazi za njia panda ndio tunatumia kama viungoAnaogopa mifugo?Aache uoga.
Alisomea south africaManara ana hiyo elimu?
Mbona wengi wa wandishi wa habari wa tz weupe sana kichwani? Tatizo ni vyuo au?Elimu muhimu mkuu ,Elimu ya Mass Communication, ni wana habari ndio wanafit hz nafasi
-KujibweteshaMbona wengi wa wandishi wa habari wa tz weupe sana kichwani? Tatizo ni vyuo au?
Nakumbuka zilikuwa F saba.Ni Feee Feee Feee hadi mwisho.Nilichofaulu ni kuandika namba yangu ya mtahiniwa bila kukosea.Ni hivyo hivyo mkuu, inategemea uelewa wako, na pia ulipata " F" ngapi shuleni