Huku unalia! [emoji23][emoji23]Mkuu yanga waliondoka kina MBUYU TWITE Huyu fei ni nani mpaka ung`aze sharubu hivi
Sasa nani atatubebea hirizi kama Fei anaondoka?Hizi habari kama ni kweli,andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.
Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto,timu yenu ni Kama Ihefu tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tatizo la makolo mnageuza kila kitu.Nyeupe inakua nyekundu. Na nyekundu inakua Nyeusi. Sisi hatuna presha. Tunao akina fei toto zaidi ya wa5.Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.
Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Huyu fei unaweza mwanzisha bench na wengine wakacheza na yanga wakashinda....niambie nani alikua backup ya mbuyu kipindi ile..kama ulikua umeshakua lakniMbuyukwa fei[emoji16]
Bado Kamasi Alikua anapiga Nike...[emoji28]Huyu fei unaweza mwanzisha bench na wengine wakacheza na yanga wakashinda....niambie nani alikua backup ya mbuyu kipindi ile..kama ulikua umeshakua lakni
Kama mpaka wewe umeuona ujinga wangu,mimi siwezi kuwa mkuuFicha ujinga wako mkuu