Kuondoka kwa Feitoto: Sasa Yanga “utopolo” hali tete

Kuondoka kwa Feitoto: Sasa Yanga “utopolo” hali tete

Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.

Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sio jezi, sio bahasha imekua Feisal [emoji38][emoji38]? Siku mkija kujua shida yenu tuna makombe 120
 
Kabla ya Feisal Yanga ilikuwa Yanga, hata baada ya Feisal Yanga itabaki Yanga ileile. Wamepita wangapi iwe Feisal? Mikia mnajaribu kujipoza na hii habari. Huu muda mngechangishana mkanunua basi, kuliko wachezaji kupanda daldala ya Gongo la mboto posta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.

Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afadhari huyu dogo kaondoka utopolo watapata tabu
 
Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.

Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama unachofurahia kinaweza kupunguza maumivu yako,,Fei toto kuondoka sio big issue kwa yanga hii,,inategemea ameondokaje,,kama ameondoka vizuri kiroho safi ataenda kufanikiwa uko alikoenda lakini kama ameondoka vibaya kwa kuwavimbia viongozi na kujiona amefikia kilele cha utukufu basi safari yake ya mafanikio inakwenda kuishia Azam,,siongei hiki kwa kubahatisha bali naongea kwa mifano hai,,Mnamkumbuka mchezaji alikuwa anaitwa Frank domayo,uyu aliondoka yanga akiwa on fire na yanga awakutaka kumuachia lakini aliwagomea kusaini mkataba mpya licha ya juhudi kubwa kufanyika akaenda kusaini Azam akiwaacha viongozi wa yanga midomo wazi kwa kiwango alichokuwa nacho kipindi icho alikuwa tegemeo,,lakini alivyoondoka kilichofata kinajulikana habari yake iliishia Azam, Mwingine aliyeondoka vibaya ni gadiel michael na sasa kinachomkuta uko alipo kila mtu ni shahidi, Mwingine ni Ibrahim ajibu anachokipitia kila mtu anakijua, kwaiyo suala sio fei toto anaenda azam suala ni ameondokaje, kwa sababu pamoja na umuhimu wake kwenye kikosi lakini yanga haiwezi kutetereka sababu ya fei toto kutokana na kikosi walichonacho kwa sasa sio wa kutegemea mchezaji mmoja,,ishu ni namna ya uondokaji wa mlengwa na ninachoona ameondoka kibabe kwa kuvunja mkataba wake wakati klabu bado ina mkataba nae na bado inamhitaji,,Yanga ni Taasisi kubwa haiwezi kuyumba sababu ya mchezaji mmoja na kama anaondoka basi viongozi watakuja na tamko rasmi
 
Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.

Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Tutawapa mlungula waamuzi tutakapocheza na Simba..!! Na nyie tulipowafunga kwenye ngao ya jamii tuliwapa mlungula waamuzi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]afadhari huyu dogo kaondoka utopolo watapata tabu
Kila anayetoka ndo mnasema maumivu aliyowapa. Semeni wakati bado yupo..!! Tajeni tu Mayele, Master Key etc
 
Fei alikuwa mbuyu YANGA, acheni kujifariji..
 
Ni mbinu za Azam kututoa mchezini kuelekea mechi ya kesho . Wanatufanya tufikirie kuhusu Fei badala ya mchezo kesho

Kipigo Ni kipigo tu
 
Sidhani kama unachofurahia kinaweza kupunguza maumivu yako,,Fei toto kuondoka sio big issue kwa yanga hii,,inategemea ameondokaje,,kama ameondoka vizuri kiroho safi ataenda kufanikiwa uko alikoenda lakini kama ameondoka vibaya kwa kuwavimbia viongozi na kujiona amefikia kilele cha utukufu basi safari yake ya mafanikio inakwenda kuishia Azam,,siongei hiki kwa kubahatisha bali naongea kwa mifano hai,,Mnamkumbuka mchezaji alikuwa anaitwa Frank domayo,uyu aliondoka yanga akiwa on fire na yanga awakutaka kumuachia lakini aliwagomea kusaini mkataba mpya licha ya juhudi kubwa kufanyika akaenda kusaini Azam akiwaacha viongozi wa yanga midomo wazi kwa kiwango alichokuwa nacho kipindi icho alikuwa tegemeo,,lakini alivyoondoka kilichofata kinajulikana habari yake iliishia Azam, Mwingine aliyeondoka vibaya ni gadiel michael na sasa kinachomkuta uko alipo kila mtu ni shahidi, Mwingine ni Ibrahim ajibu anachokipitia kila mtu anakijua, kwaiyo suala sio fei toto anaenda azam suala ni ameondokaje, kwa sababu pamoja na umuhimu wake kwenye kikosi lakini yanga haiwezi kutetereka sababu ya fei toto kutokana na kikosi walichonacho kwa sasa sio wa kutegemea mchezaji mmoja,,ishu ni namna ya uondokaji wa mlengwa na ninachoona ameondoka kibabe kwa kuvunja mkataba wake wakati klabu bado ina mkataba nae na bado inamhitaji,,Yanga ni Taasisi kubwa haiwezi kuyumba sababu ya mchezaji mmoja na kama anaondoka basi viongozi watakuja na tamko rasmi
We ndio mganga wa utopolo mwenye kazi ya kuroga wachezaji wanaowaachia kisununu?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
"Tunacheza Mpira Kwa sababu ni Maslahi na Kuna watu nyuma Wanatutegemea, Hatuchezi Mpira Kwa sababu ya kufurahisha Watu ikitokea fursa imetokea tunaenda Kutafuta rizki sehemu nyingine, Mpira ni kazi kama kazi Nyingine" FEISAL SALUM
 
contract termination letter kutoka kwa feisal kwenye Yanga na TFF sasa kama hii sio makeup Propaganda Utopolo itakuwa imepoteza mchezaji muhimu sana kwao…….[emoji736]
 

Attachments

  • IMG_0307.jpg
    IMG_0307.jpg
    44.5 KB · Views: 3
  • IMG_0308.jpg
    IMG_0308.jpg
    24.1 KB · Views: 3
Kabla ya Feisal Yanga ilikuwa Yanga, hata baada ya Feisal Yanga itabaki Yanga ileile. Wamepita wangapi iwe Feisal? Mikia mnajaribu kujipoza na hii habari. Huu muda mngechangishana mkanunua basi, kuliko wachezaji kupanda daldala ya Gongo la mboto posta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa hawa ndio hua wanasema Feisal ni mchezaji wa kawaida blah blah kibao leo amegeuka kua MVP! umalaya sio kuuza uchi tu hii nayo Nia aiana nyingine ya umalaya
 
Kabla ya Feisal Yanga ilikuwa Yanga, hata baada ya Feisal Yanga itabaki Yanga ileile. Wamepita wangapi iwe Feisal? Mikia mnajaribu kujipoza na hii habari. Huu muda mngechangishana mkanunua basi, kuliko wachezaji kupanda daldala ya Gongo la mboto posta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
True mchezaji hawezi kuwa juu ya timu!!
 
Back
Top Bottom