Outcrop Rock
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 275
- 398
+225 hiyo contact number kwenye barua ya kununua mkataba wake nina wasiwasi nayo Sana maana code ya Tz ni +255..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Fei toto hatakiwi Yanga? Mbona amesepa sasa?Engineer keshatoa tamko, hakuna atakaeondoka yanga anaetakiwa. Hao azam wanatumika tu kama mawakala
Yanga wenyewe awajasema kituKwa hiyo Fei toto hatakiwi Yanga? Mbona amesepa sasa?
LAKINI MKUU,Utakuja kujiona umejawa na aibu kubwa kuhusu hili, Unadhani hawezi kwenda popote kwamba ni Klabu ya mzazi wake?
Ukijua kazi ya mchezaji ndo utafahamu yote haya unayoita ngonjera.
Hata kauchawi alikuwa anakashika Feisal 😝😝😝😝 sasa mbadala wake atafutweHizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.
Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Bobosi hakufatwa Uganda bure!!..
Huyu fei unaweza mwanzisha bench na wengine wakacheza na yanga wakashinda....niambie nani alikua backup ya mbuyu kipindi ile..kama ulikua umeshakua lakni
Mkuu acha masihara Fei na Mayele ndo enjine ya Yanga kuwa mkweli
+225 hiyo contact number kwenye barua ya kununua mkataba wake nina wasiwasi nayo Sana maana code ya Tz ni +255..