Pre GE2025 Kuondoka kwa Lissu CHADEMA baada ya kushindwa Uenyekiti kwa fedheha kutakifanya chama kuwa imara zaidi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gentleman,
relax na ujikite kwenye hoja bila mawenge,

wajumbe wamejipanga kumshikisha adabu kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi ili iwe fundisho kwa wengine wenye midomo na makelele nchini πŸ’

kumpotosha mwenzio ni kitu mbaya sana
Mkuu unahangaika Sana. na lisu, vipi mbona kama Kuna mengine pembeni ambayo sisi hatuyajui .uenyekiti tu kweli?
 
mwisho wa unafiki chadema umewadia gentleman πŸ’
Ni muhimu unafiki wa kutumwa na CCM ukome hasa kwa LISSU kuchukua mamlaka kamili.
Hii itawabakiza wanachama wa CHADEMA wakitembea vifua mbele.
Na hata ningekuwa mwanachama wao ningelichana kadi yao hadharani kutokana na DHARAU walizolifanyia taifa la Tanganyika kwa kumteua mtu wanayemuita kuwa ni MLOPAKAJI wakati walituaminisha kuwa ni mtu sahihi.
 
Takataka

Dogo nimempigia simu nchimbi akuondoe kwenye payaroll ya machawa wa lumumba kwa kuwa huna mchango wa maana

Unaandika upumbavu tu
 
Takataka

Dogo nimempigia simu nchimbi akuondoe kwenye payaroll ya machawa wa lumumba kwa kuwa huna mchango wa maana

Unaandika upumbavu tu
nitaandika ukweli mpaka uzoee maana hakuna namna nyingine sasa ya kudhibiti makasiriko na muhemko yako πŸ’
 
Amini Mungu pekee gentleman πŸ’
 
TAL ni tatizo hata kwenye familia yake!
Hata familia haijaweza kumshauri na akishauriwa ni mtu WA vita!

Wajumbe,familia haijamtuma kugombea ,mkataeni !
Lisu is trying to hold CHADEMA at ransome. Haya yote anayoongea anawatishia chama na viongozi wenzie kwa kujaribu kuwatia woga. Eti anaanza sasa kujitenga na maamuzi ya vikao vya chama. Alikuwa wapi wakati ule hadi asubiri uchaguzi? Kumbuka, Hivi ndivyo atakavyokuwa akibahatika kupewa kijiti. Ni mtu atakayekuwa dictator zaidi ya yule anayelenga kumuangusha. Huyu hana adabu pia. Kumbuka hata Rais wa nchi anamuita mama Abdul. Kiongozi wa nchi!
 
nitaandika ukweli mpaka uzoee maana hakuna namna nyingine sasa ya kudhibiti makasiriko na muhemko yako πŸ’
Mtu asiye na maadil kama wewe na ambaye ni jobless anaweza andika chochote ilimradi anamtumikia kafiri kwa ujira.

Hivi wew unatofauti Gani na mtoto yatima au chokoraa ambaye unafadhiliwa ili kuishi,
 
usihofu,
wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema wapo jikoni wanachemsha dawa yake, Jan 22,2025 Lazima atiwe adabu ili iwe fundisho kwa wengine wenye midomo kama yeye πŸ’
 
Kwahiyo ushauri wako ni kuwa TAL asiondke ili Chama kiwe dhaifu na hatimae muwe na upinzani dhaifu
 
Mtu asiye na maadil kama wewe na ambaye ni jobless anaweza andika chochote ilimradi anamtumikia kafiri kwa ujira.

Hivi wew unatofauti Gani na mtoto yatima au chokoraa ambaye unafadhiliwa ili kuishi,
kwamba Kibaraka na omba omba kuchangiwa la kimataifa ni yatima au chokoraa?🀣

Inafahamika yeye na mkewe wanaofadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi, na hivi majuzi tu kwa hisia sana aliomba kuchangiwa pocket gari na pesa ya chakula, ametumia vibaya,

sasa analazimisha kwenda kula chakula kwa chairman Taifa 🀣

eti halafu anagombea uenyekiti Taifa 🀣
 
Kwahiyo ushauri wako ni kuwa TAL asiondke ili Chama kiwe dhaifu na hatimae muwe na upinzani dhaifu
ni muhimu ukazingatia hoja mahususi mezani itakusaiadia sana gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…