Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Ni huzuni kweli kweli,nimeona taarifa ya BBC ikionesha mateso wanayopata Raia wa Afghanistan kutokana na vita Kati ya Taleban na Majeshi ya Serikali.
Watu Wana njaa,wanauwawa na Wana majeraha ya risasi na mabomu.Marekani wamekosea Sana kuondoka huku wakijua jeshi la Nchi ni dhaifu.Matokeo yake ni ombwe la kugombea madaraka huku Taleban wakionekana kuizidi serikali.
Ni vyema Umoja wa Mataifa uangalie jinsi ya kuwasidia Hawa watu hasa watoto, wanawake, wazee na walemavu. Ukizaliwa kwenye amani hadi ukazeeka na kufa kwenye amani mshukuru Mungu maana unaweza kutana na janga ukiwa Mzee, mgonjwa au mtoto.
Watu Wana njaa,wanauwawa na Wana majeraha ya risasi na mabomu.Marekani wamekosea Sana kuondoka huku wakijua jeshi la Nchi ni dhaifu.Matokeo yake ni ombwe la kugombea madaraka huku Taleban wakionekana kuizidi serikali.
Ni vyema Umoja wa Mataifa uangalie jinsi ya kuwasidia Hawa watu hasa watoto, wanawake, wazee na walemavu. Ukizaliwa kwenye amani hadi ukazeeka na kufa kwenye amani mshukuru Mungu maana unaweza kutana na janga ukiwa Mzee, mgonjwa au mtoto.