Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
SawaWatu Dunia hii hamtakaa muishiwe conspiracy theories
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWatu Dunia hii hamtakaa muishiwe conspiracy theories
Usichokijua CCM=CCPSawa
Unaongelea CCP ya pale karibu na ushirika...?Usichokijua CCM=CCP
Kwamba unajitoa ufahamu au hujui Taleban walikuwa wanawahifadhi akina nani?
Uliwahi ona lini kuna magaidi dini tofauti na hao?
Chanzo ni jengo la kibiashara na pentagone. Achilia mbali yule jamaa alie zikwa baharini wao walimpa hifathi, Sasa wakomae kulinda raia si kuomba wakulu kurudu.Jibu swali langu, je kulikuwa na vita kabla ya kuingia rasmi majeshi ya marekani huko Afghanistan?
Libya, iraq, afghanistan etcNi huzuni kweli kweli,nimeona taarifa ya BBC ikionesha mateso wanayopata Raia wa Afghanistan kutokana na vita Kati ya Taleban na Majeshi ya Serikali...
Mkuu..miaka waliokaa huko ni mingi sana, kama serikali ya huko haiwezi kujisimamia basi hata wangebaki milele bado hali ingekuwa mbaya tu.Biden kafanya makosa makubwa sana kuondoka Afghanistan.
Chanzo ni jengo la kibiashara na pentagone. Achilia mbali yule jamaa alie zikwa baharini wao walimpa hifathi, Sasa wakomae kulinda raia si kuomba wakulu kurudu.
Ndio,kati ya Taliban na Mjahidin wa Northern Alliance.Okay, kabla ya apo kulikua na vita?
Pia una uhakika gani yule waliemzika bahalini ni osama?
Ukweli gani unafichwa?umeuliza je kabla ya Marekani kwenda Afghanistan kulikuwa na vita nimekujibu ndio,kati ya Serikali ya Taliban zidi ya Mujahedeen wa Northern Alliance.Mnajitahidi kuficha ukweli, lakini ukweli unajulikana
Hii gari Ina devices ambazo USA wanaiona popote ilipo na wanaweza ishambulia kwa drones sema kwakuwa Ina raia hawaoni faida yakeHumvee za jeshi ya USA zilizotekwa na wa TALEBAN, zinatumika kusafirisha abiria wa ki AFGHAN huko vijijiniView attachment 1855524
Mmarekani mjanja sana..hapo keshatengeneza mgogoro kati ya Taliban na serikali ambao anajua hauwezi kuisha leo wala kesho. Yeye kazi yake itakuwa kuuza siraha tu.Wale tunaozisoma siasa za magharibi na mashariki ya kati nyuma ya pazia nadhani hatujiulizi kwanin Marekani karanya hvyo
Wao Taliban wanakwambia wanaikaribisha China maana wanasema China ni nchi nzuri wanaikaribisha waje kujenga nchi. Pia kiongozi wao anadai amekuwa china mara kadhaaNi huzuni kweli kweli,nimeona taarifa ya BBC ikionesha mateso wanayopata Raia wa Afghanistan kutokana na vita Kati ya Taleban na Majeshi ya Serikali...
Si ni nchi huru waachwe wafanye mambo yaoWapenda demokeasia njooni huku
Unasikiliza kumbe propaganda za BBC ukiwauliza waAfghanstan wenyewe watakuambia kuwa Taliban sio kikundi cha kigaidi kama unavyoaminishwa na BBC na CNN bali ni chama cha ukomboziNi huzuni kweli kweli,nimeona taarifa ya BBC ikionesha mateso wanayopata Raia wa Afghanistan kutokana na vita Kati ya Taleban na Majeshi ya Serikali.
Watu Wana njaa,wanauwawa na Wana majeraha ya risasi na mabomu.Marekani wamekosea Sana kuondoka huku wakijua jeshi la Nchi ni dhaifu.Matokeo yake ni ombwe la kugombea madaraka huku Taleban wakionekana kuizidi serikali...
Hivi wajua kama serikali ilikua na jimbo la Kabul tu, kwingine kote Taliban ndo walikua wanatawala? Je wajua ji majeneza kiasi gani Marekani wamerudisha kwao kwa miaka iyo 20? Usidhani wajingaa kukimbia kama walibyokimbia VietnamNimekusoma Boss sasa kwenye lengo lao hilo walitakiwa wawajengee uwezo wa kijeshi hao waliowaacha maana inakoelekea wataangushwa na Taleban kushika dola....