Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Sina hakikaHizo ni za kuonyeshea na sio zile za kupambana we uoni nyingi ni za kizamani, angalia hata sherehe za miaka ya nyuma ni hizo hizo.
Google ili ujiridhishe Kama mawazo yako Yana ukweli wowote.Sijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani...
China huonesha, USA Huonesha fatiliaSijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani.
Nashangaa sana kwa nchi za Africa na taifa letu kuonyesha zana za kivita hadharani.
Je, huku sio kuweka hadharani taarifa na siri za kijeshi za taifa letu na kuwapa mwanya maadui wetu?
Nadhani wewe ni mshamba top 3. Tumia simu yako kucheck YouTube maonesho ya siraha US, China, German, Russia na mataifa yote ujuayo. Yapo Tele Tena sio hivi vidude vyetu vya Enzi za zama za Mang'ung'o wa Msovelo. Kule wanaonesha madude mpk unahisi harufu ya vita!!Sijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani...
Kuelimishana sio mpaka ulete kashfa we pimbiNadhani wewe ni mshamba top 3. Tumia simu yako kucheck YouTube maonesho ya siraha US, China, German, Russia na mataifa yote ujuayo. Yapo Tele Tena sio hivi vidude vyetu vya Enzi za zama za Mang'ung'o wa Msovelo. Kule wanaonesha madude mpk unahisi harufu ya vita!!
Yap,hiyo kitu upo sahihi. Nimewahi ona habari juu ya maonesho ya jeshi la Urusi.Google ili ujiridhishe Kama mawazo yako Yana ukweli wowote.
Kuna paredi za maonyesho za kufa mtu hasa Urusi,uchina, korea zote hizo nichache na wanaonyesha mitambo usiombe.
Pumbavu na nusu. Kojoa ukalaleSijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani.
Nashangaa sana kwa nchi za Africa na taifa letu kuonyesha zana za kivita hadharani.
Je, huku sio kuweka hadharani taarifa na siri za kijeshi za taifa letu na kuwapa mwanya maadui wetu?
Siri gani wakati aliyekuuzia anakujawa A to Z hata spare unaagiza kutoka kwake unatengeneza nini? watu wanakupiga picha toka juu huku wanakuona kila unachofanya huku siri ya nini?Sijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani...
Wale wanatengeneza wenyewe wewe unatengeneza nini panga?Google ili ujiridhishe Kama mawazo yako Yana ukweli wowote.
Kuna paredi za maonyesho za kufa mtu hasa Urusi,uchina, korea zote hizo nichache na wanaonyesha mitambo usiombe.
mbn nchi nyingi Asia Ulaya na America wanaonesha silaha zaoSijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani.
Nashangaa sana kwa nchi za Africa na taifa letu kuonyesha zana za kivita hadharani.
Je, huku sio kuweka hadharani taarifa na siri za kijeshi za taifa letu na kuwapa mwanya maadui wetu?
Huyu jamaa atakua mang'aa au Ndorobo!Huyu jamaa sijui wa wapi huyu eti hujawai kuona USA na UK..ebu fatilia bhana uje tena kwenye uzi wako.
Polisi huonyesha wazi kila site pia hawafichi. Mhalifu Akiziona somo linamwingia barabaraChina huonesha, USA Huonesha fatilia