igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Urusi, China, Korea etc wanaonyesha silaha zao walizounda, kama juzi Urusi wameonyesha ndege yao mpya kabisa ambayo tishio hata kwa Marekani... Sasa sisi lengo la kuonyesha ni nini hasa??Google ili ujiridhishe Kama mawazo yako Yana ukweli wowote.
Kuna paredi za maonyesho za kufa mtu hasa Urusi,uchina, korea zote hizo nichache na wanaonyesha mitambo usiombe.