Kuonesha zana na silaha za kijeshi mbele ya umma sio kuweka hadharani siri za taifa letu kwa maadui?

Kuonesha zana na silaha za kijeshi mbele ya umma sio kuweka hadharani siri za taifa letu kwa maadui?

Ndugu zangu angalieni chuki kwa Mama zisije wapa magonjwa.

Maana mnakosoa mpaka vitu vilivyoanza awamu ya kwanza kisa haumpendi Samia!

Kama haupendezwi naye sio kosa. Sio lazima watu wote wampende!

Angalia maisha yako au shabikia Simba na Yanga siku ziende!
Hii mada inahusiana vipi na kumkosoa mama? Fool
 
Sijawahi kuona taifa kama Usa au United Kingdom wakionyesha zana na siraha zao za kivita hadharani.

Nashangaa sana kwa nchi za Africa na taifa letu kuonyesha zana za kivita hadharani.

Je, huku sio kuweka hadharani taarifa na siri za kijeshi za taifa letu na kuwapa mwanya maadui wetu?
Hao wachovu Hamna Kitu, Bora akina Kingai, wakakamavu
 
Ingekuwa hivyo kila mmoja angejua kutengeneza cocacola
 
sio jambo geni...ni utamaduni wa kawaida duniani....ila sio kweli kama unaonyeshwa mamisuli.... ni North korea pekee anayefyatua makombora na kufanya military marching ya kutisha pamoja na baba yao China na Urusi...hizi huwa ni akili za kijamaa
Hawa wanafanya kusend meseji kwa USA kwamba tumefikia hatua hii , sisi ni wenzako. Tuna misuli km wewe.
 
Back
Top Bottom