Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

[emoji28][emoji23][emoji23] huyo shoga yako anadhambi sana hahaha
 
Hahahah au upokee SMS ya Bebi naomba nikwambie kitu.... Kabla sijaijibu naanza kucheka kabisa na kuandaa buku unusu, Yaani nakufanyia Bajeti kabisa kabla ya kujibu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]usiombeee demu akuombe hela umpe ahadi nitakutumia jioni

Huwa wanawasumbua sana eeeeh kuwapigia simu mpaka unachukia [emoji3][emoji3][emoji3]
Hata mm Demiss huwa nina katabia ukinipa ahadi lazima nikupigie simu
 
Nikishaona hio text nakuandalia kabisa aisee, ukijibu tu naomba Nitumie..... Nishatuma kisha sababu zinafuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…