Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Eti mi hata nnaemdai akiniahidi kunipa badae simpigii wala simkumbushi,ila mwenyewe tu atasikia aibu.Maskini jeuri mimi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]usiombeee demu akuombe hela umpe ahadi nitakutumia jioni
Huwa wanawasumbua sana eeeeh kuwapigia simu mpaka unachukia [emoji3][emoji3][emoji3]
Hata mm Demiss huwa nina katabia ukinipa ahadi lazima nikupigie simu
Hata mimi huwa naonekana jeuri kuna simunikipigwa unajua kabisa huu ni mzingaKusema kweli mimi wengi wanaona ninadharau,huwa sipokei simu ambazo najua fika ni usumbufu tu.
Na nadhani mnajijua kuna some girls ukiona simu zao tu,jua mzinga[emoji2]
Jolie JolieNan?
Kama kwel umeitupa jez yetu pendwa..umebaki na jezi ya kuzaliwa[emoji23]Uone nini we kaka.
Wenzako siku hizi wanatembea na jezi mbili mbili.Na utakomaUsicheke JJ. Shunie ananinyanyasa jamani
Usimrembulie tu hajazoea macho makubwa,kazoea hivi vimacho mchina vya mkewe,plz usimrembulieNitakupigia video call nikuzomeeee jj samahan lakini kwenye ushabiki utanisamehe
KhaaaahUsimrembulie tu hajazoea macho makubwa,kazoea hivi vimacho mchina vya mkewe,plz usimrembulie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwenye bumunda tena haha nimecheka sanaUnasema spika mbovu mm huwa naweka mpaka kwenye bumundaaaa simu nasema nusaaaa nusaaaaa hukooo alafu naitika kwa sautii eeeeeeeh sikusikiiii huku kimoyo moyo nasema nusaaa huko
Haha naachaje kujua wakati ndo vifurushi vyetu sisi wa hali ya chini mpenzi wanguBby bando zote unazijua [emoji23] [emoji23]
Anapiga na namba nyingine,ndo mana sipokeagi namba ngeni,mi yani napokeaga namba nilizozisevu tuuuu....namba ngeni naziogopa walahiAnabadilisha namba unajua kupenda kweli
Sasa si mpka huyu baba amalize mda wake ndio hali itatengamaa...ni mwendo wa uni tu [emoji23]Haha naachaje kujua wakati ndo vifurushi vyetu sisi wa hali ya chini mpenzi wangu