Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Eti mi hata nnaemdai akiniahidi kunipa badae simpigii wala simkumbushi,ila mwenyewe tu atasikia aibu.Maskini jeuri mimi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]uwiiii umetisha
 
Anapiga kila saa mpaka simu inaisha chaji
Nimekutana nayo kwa mfipa mmoja hivi kuna makabila yana tabu jamani jitu unaliambia Mimi tayari occupied lakini bado tu limekomaa daah hapo akipiga napokea sim naiacha chumbani mwenyew natoka zangu nje spendagi ujinga mim
 
Kuna jamaa alishanipigia usiku mkubwa sana hadi nikahisi kunaweza kuwa na tatizo kubwa that's why kapiga midnight.

Sasa wakati napokea simu..jamaa ananiambia "leta swagga mwana" kwa lafudhi ya kimakonde...Daah! Nikawaza huyu jamaa kanipigia this late night then anasema leta swaga tena? Nikamvumilia then nikamuuliza unasemaje? Akasema cheka yake ilitakq kuisha hivyo akaamua anipigie ili aimalizie!?

Nilikuwa namheshimu but nikavurumusha tusi then nikazima simu nikachapa mate hadi asubuhi.

Kuna watu wanakera sana.
[emoji23] [emoji23] nimevuta picha hiyo lafudhi ya kimakonde nimecheka sana haha eti leta swaga mwana[emoji23] .Kuna ndugu yangu huyo hanaga story yeye kazi yake kusema enhe!mambo mengine?unajibu ni poa anakwambia leta story[emoji23]unamjib ah hakuna story anakwambia tena, mambo mengine vipi lakini?
Imebidi nimsevu MAMBO MENGINE
 
Sometimes watu wanaweza kuona kama unaringa au unadharau,mtu mwingine anakupigia simu then anachoongea sasa,hakuna cha maana,Sometimes naonaga bora kutopokea tu
Ndo Yale mtu ndio anakutongoza hata kukubaliwa bado ataanza jisemesha oohh nikutumie nauli uje Mara unakula kiasi gani kwa mwezi anajisemesha vitu wala havimuhusu
 
Back
Top Bottom