Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Nimekutana nayo kwa mfipa mmoja hivi kuna makabila yana tabu jamani jitu unaliambia Mimi tayari occupied lakini bado tu limekomaa daah hapo akipiga napokea sim naiacha chumbani mwenyew natoka zangu nje spendagi ujinga mim
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]uwe unawasha tv unapokea unaiweka hapoooo
 
[emoji23] [emoji23] nimevuta picha hiyo lafudhi ya kimakonde nimecheka sana haha eti leta swaga mwana[emoji23] .Kuna ndugu yangu huyo hanaga story yeye kazi yake kusema enhe!mambo mengine?unajibu ni poa anakwambia leta story[emoji23]unamjib ah hakuna story anakwambia tena, mambo mengine vipi lakini?
Imebidi nimsevu MAMBO MENGINE
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]tabia mbaya ujue unachuma dhambi
 
Mwingine atakwambia nimeshakuweka kwenye bajeti yangu ya mshahara kuanzia mwezi huu[emoji23] dadeki sipendi kauli ya "unakula sh ngapi kwa mwezi"
Utazani amewahi kukuona unalia njaa
Napatwaga hasira basi tu na ela nazipenda akishatanguliza hilo mfipa hiwa hatoki salama ataliwa,,na hamna atakachopata
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kuna yale magimbi yaooo ni matamu kweli kweli
Hahaha ukipata mnyakyusa anaependwa na mama yake wa Tukuyu utanenepa kwa kuagiziwa maparachichi na ndizi fresh from shamba,utaagiziwa mchele madebe mawili supa wa kyela na magunia matatu ya mpunga[emoji23] [emoji23]
 
Yani huwa nakereka kuongea na simu na mtu nisiyempenda unajua kwa sababu nimeshamweleza kila kitu lakini bado anazidi kuganda kama ruba huyu lazima nimfanyie unyamaaa unyamani tu.

Unakuta mwanaume amekutongoza umemkataaa anaendelea kukusumbua hawa ndo wanakera zaidi na story zao za porojo blah blah kibao huwa napata moto mimi Demiss hasira mpaka kwenye koo.

Yani watu kama hawa simu 24 hours sms kibao whastap alafu wanapenda video call yani huwa napata motooo mimi nachukia.

Yani nikiona tu simu inaitaaa haki nitasonyaaaaa sonyooo la haja alafu nabonyeza kidude cha kupunguzia sauti ili nisisikie kelele za kuita simu.

Nikiona unapiga sana napokea simu huku nimekunja mdomoo karibia unafika sikioni [emoji10] [emoji10] [emoji10] sipendi kero hasa mtu nisiyempenda.

Nikipokea simu yako lazima niweke kwenye kwapa ili uongeee naloo sipendag kerooo kabisaa au najifanya halllo halllo kama sisikii au network inasumbua.
Nikikata simu nakusindikiza na neno la hajaaaaaa.

Jamani kuna wanaume wanasumbua kwenye simu mpaka unataman kumpa makondeee yani haelewi huwa wananipa moto mimi.


Mrs Jr.
Ndio maana huwa hupokei simu yangu.

Sasa nishapata jibu
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Sasa ukitaka kujua utamu wa maisha ni pale ambapo unaye mpenda wewe naye anajisikia Hivi Hivi ukimpigia [emoji23]. Malipo hapa hapa duniani
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom