sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Miezi michahe iliyopita hili jambo lilipigiwa kelele sana pale mitandao yote kwa mpigo iliposhinikizwa kubadili bei zao kutokana na mabadiliko kadhaa ya sheria.
Kiukweli kisu kiligonga mfupa na wananchi kelele zao zilikita kila kona na mpaka raisi akaingilia kati.
kwa sasa ndani ya miezi miwili hii tumesuhudia mitandao ilikuwa inapokezana vijiti kupandisha bei, wakipandisha huku wananchi tulihamia kule na huku, haikuwa kwa mpigo ila haba na haba hujaza kibaba na sasa lengo limetimia huku waanchi tukiwa hatuna mbadala.
sasa nashindwa kuelewa hapa, je lngo ni kuibana internet isifikie watu wengi au labda kuna kikao cha mameneja wa wizara husika wanaolipwa mamilioni wakadhani kwamba kwa kuwa wao wana uweo wa kumudu vifurshi basu wakachukuia na wananchi wana pesa za mchezo kulipia haya mabando?
Aibu ilioje hii.
Kiukweli kisu kiligonga mfupa na wananchi kelele zao zilikita kila kona na mpaka raisi akaingilia kati.
kwa sasa ndani ya miezi miwili hii tumesuhudia mitandao ilikuwa inapokezana vijiti kupandisha bei, wakipandisha huku wananchi tulihamia kule na huku, haikuwa kwa mpigo ila haba na haba hujaza kibaba na sasa lengo limetimia huku waanchi tukiwa hatuna mbadala.
sasa nashindwa kuelewa hapa, je lngo ni kuibana internet isifikie watu wengi au labda kuna kikao cha mameneja wa wizara husika wanaolipwa mamilioni wakadhani kwamba kwa kuwa wao wana uweo wa kumudu vifurshi basu wakachukuia na wananchi wana pesa za mchezo kulipia haya mabando?
Aibu ilioje hii.