Kuongezeka kwa Ujenzi wa Vituo vya Mafuta kwenye makazi ya watu Serikali inasubiri ya Morogoro yatokee ndio ichukue hatua?

Watu wana tktish pesa tu
We fungua kituo mambo mengine
Jiongeze

Ova
 
Hoja iwe ya KITAALUMA zaidi.
Mpangilio wa Miji, TOWN PLANNING, uliisha fanyika na kuidhinishwa na Mamlaka husika, kwa nini Wafanyakazi wa Idara/Wizara ya Ardhi wanarudi kuubadilisha?
Hili ndilo tatizo.
Na kichocheo ni RUSHWA.
Suluhu ni kuyafuta MABADILIKO yote yanayofanywa na Idara ya Ardhi.
Ramani za awali ziheshimiwe.
 
ni kuombea kusitokee mlipuko mana kupambana na uwo moto itakuwa ngumu.

bongo hapa mipango miji tunafeli pakubwa.. bado najiuliza ata wale waliojenga ile DART main depot pale jangwani ;walikuwa wanawaza nini vichwani mwao!
 
Vp kile cha jkt mlalakuwa vepe

Ova
Kile kiko sawa kabisa kuanzia eneo hadi position maana hakuna kituo hadi Mikocheni Nyerere, Hakuna Kituo hadi Stendi ya Kawe, Hakuna kituo hadi Total MbeziBeach
 
Kile kiko sawa kabisa kuanzia eneo hadi position maana hakuna kituo hadi Mikocheni Nyerere, Hakuna Kituo hadi Stendi ya Kawe, Hakuna kituo hadi Total MbeziBeach
Maringo pale kona vp hakuna kituo kinachojengwa pale
Ila pale jkt majirani walitaka kuanza kupinga uwepo wa kituo hicho anyway
Sjui walimalizana vp

Ova
 
ni kuombea kusitokee mlipuko mana kupambana na uwo moto itakuwa ngumu.

bongo hapa mipango miji tunafeli pakubwa.. bado najiuliza ata wale waliojenga ile DART main depot pale jangwani ;walikuwa wanawaza nini vichwani mwao!
Maafa makubwa yakitokea ndiyo akili
Huwa inakaaa sawa

Ova
 
Hivi vituo vilitakiwa vijengwe nje ya mji vijitenge na makazi ya watu. Kuna mji mmoja barabara kuu vituo vya mafuta vimejengwa vinakaribiana mita chachache kutoka kimoja hadi kingina na vyote vipo kwenye makazi ya watu
Hiyo ni energy source, huwezi kujitenga nayo, mwenye hii mada haelewi Dunia inakwenda wapi, kinachotakiwa ni safety standards na Sio kuzuia makazi ya Watu na Watu SI ndio watumiaji!? Fikiria maduka ya gesi Si ndio hatarishi Zaidi ila yapo vyumbani mwa Watu
 
Hivi vituo vilitakiwa vijengwe nje ya mji vijitenge na makazi ya watu. Kuna mji mmoja barabara kuu vituo vya mafuta vimejengwa vinakaribiana mita chachache kutoka kimoja hadi kingina na vyote vipo kwenye makazi ya watu
Wenye magari tupo mjini sasa kwanini kituo kijengwe nje ya mji? Kufa kupo tuu acha uoga.
 
Wewe shida Yako ni nini, tra hawachukua Kodi huko!? Acha wivu na biashara za Watu
 
Hilo la Moro ulishuhudia au ulihadithiwa mbona hatujawahi kulisikia, usiwe umechanganya tukio la lori la mafuta lililopata ajali na moto ukasababishwa na bodaboda wezi wa mafuta, na ajali kama hiyo ilitokea Mbeya pia.
Naona umekurupuka kujibu bila kusoma, kuelewa na kutafakari. Uhusiano hapo ni idadi ya vifo vinavyoweza kutokea kwenye majanga ya mafuta na moto.

Soma elewa, urikurupuke na kuropoka Mkuu
 
Hivyo vituo vingi vya mafuta vina mkono wa viongozi wa serekali, fedha hizi ni zile fedha zetu za miradi kama hospital, shule nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…