Kuongezeka kwa Wimbi la wanawake kuzalia nyumbani (kuzaa kabla ya kuolewa)

sawa mdau 👍
 
Wewe utakuwa unaangukia Na. 1,majibu waliyoyatoa wanaume katika utafiti. Huwezi mjibu mwanaume "mpuuzi" halafu aendelee na mahusiano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa
 
[emoji817] agreed
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwanamke mshenzi ni wa kumuacha tuu ...na laana zake
 
Kuongezeka huko pia kumechangiwa kwa asilimia kubwa (sio zote) na kitu inaitwa "FEMINISM"

Mimi naweza sema ni "THE NEGATIVES OF FEMINISM IN SOCIETIES"
 
Hivi hawa wanawake wanajipa mimba wenyewe? Mwenye tatizo si mwanamke tu, na mwanaume...
 
Soma vizuri kijana uelewe,..usije juu juu tuu... halafu ni hivi mtu unadhani laana labda inaweza kukupata ww tuu,. laana inaweza hata kumrudia mwanao au mjukuu wako wakati huo pengine ww ulishajifia na kuzikwa kitambo, unakuja kuwatesa wajukuu/watoto nao wanaishia kuwa michepuko tuu na kuzalishwa kila mtoto na babake, source babu/baba yao aliwafanyia hivyo watoto wa watu... what goes around comes around mzee kijana,
 
Daah mr livapuli kumbe na ww ushapigiwa🤣🤣🤣
 
Mambo si rahisi kama ulivyoandika hapa.
 
Hahaa Yaan sijui ubongo wako umeujaza nini.Unaweza kuproove hili kisayansi?
 
Zingatia "wanawake Ni wengi kuliko wanaume" nauliza , mnaokimbilia upadre wanawake wenu atawaoa Nani ? Masista sawa kwani Ni wengi .
 
Dhaaaa hawa waschana skuhz wamezid
Gubu kwakweli mnakaa week tu unashindwa kuvumilia
 
Dhaaaa hawa waschana skuhz wamezid
Gubu kwakweli mnakaa week tu unashindwa kuvumilia
Na hapa ni wachumba tuu*
Kila mmoja anakaa kwake lakin hlo ghubu si la nchi hii!!

Mpka unawaza daa nikioa haki vile naingia kifungon!:
 
Na hapa ni wachumba tuu*
Kila mmoja anakaa kwake lakin hlo ghubu si la nchi hii!!

Mpka unawaza daa nikioa haki vile naingia kifungon!:
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]yaaani unarud jion unafkiria
Vile unaenda home unakosa aman
 
Kwahiyo hapo ulipo unasubiri vitasa kwa mambo aliyofanya mama ako na baba ako?

Hii DUNIA hii mbona haina haki.

Yaani umalaya afanye mwengine mabaya yanipate Mimi?

#YNWA
 
Vijana unamaanisha wavulana au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…