OCC Doctors
Senior Member
- Jul 20, 2018
- 113
- 172
Lengo kuu la kuongezewa njia wakati wa kujifungua (Episiotomy), ni kuzuwia kuchanika kwa msamba (perineal tear) au kukaza kwa misuli kupita kiasi ambapo huweza kupelekea sehemu ya haja kubwa kuchanika.
Mama mjamzito ataongezewa njia ili kumlinda mtoto, ikiwa mtoto ametanguliza uso, makalio au kiungo tofauti na kichwa, katika hali kama hii njia inaweza kuongezwa ikiwa haitoshi kupitisha mtoto huyo.
Mama mjamzito ataongezewa njia ili kumlinda mtoto, ikiwa mtoto ametanguliza uso, makalio au kiungo tofauti na kichwa, katika hali kama hii njia inaweza kuongezwa ikiwa haitoshi kupitisha mtoto huyo.