Kijana LOGICS
Senior Member
- Dec 16, 2023
- 140
- 536
1. 2023 nauli zilipanda mara mbili hii ilitakiwa kung'oka na waziri wa uchukuzi.
Nauli zilisetiwa na LATRA kuwanufaisha wenye daladala na Mabus. Kwanini mafuta yakishuka Bei nauli hazishuki Bei?
2. 2023 Ajira za walimu zilitangazwa Tanzania mkoa wa Dar hakuajiriwa mwalimu hâta 1 tamisemi wanasema hakuna uhitaji wa walimu Dar lakini nyuma ya pazia kuna walimu wengi hasa jinsia KE waliajariwa japokua majina yao hayakua kwenye list iliyotolewa
i
Hi ingetakiwa indoke na waziri wa TAMISEMI na cabinet yake
Tunahitaji viongozi wenye mchango unaeleweka kwenye wizara.
Nauli zilisetiwa na LATRA kuwanufaisha wenye daladala na Mabus. Kwanini mafuta yakishuka Bei nauli hazishuki Bei?
2. 2023 Ajira za walimu zilitangazwa Tanzania mkoa wa Dar hakuajiriwa mwalimu hâta 1 tamisemi wanasema hakuna uhitaji wa walimu Dar lakini nyuma ya pazia kuna walimu wengi hasa jinsia KE waliajariwa japokua majina yao hayakua kwenye list iliyotolewa
i
Hi ingetakiwa indoke na waziri wa TAMISEMI na cabinet yake
Tunahitaji viongozi wenye mchango unaeleweka kwenye wizara.