Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Hii ndiyo furaha ya Mange kugombanisha watu huku watu wakimuongela yeye. Mange ni mwanamke aliyelaanika, ana wivu na wenzake na hapendi kuona wenzake wana furaha kwa sababu yeye mwenyewe hana hiyo furaha na HAKUNA mwanamme anayemtaka zaidi ya wazungu waliochoka. Ukiangalia kiundani utagundua karibu ya wanawake ama watu wengi wanaoshirikiana na Mange ni wale walio na matatizo, hawana furaha maishani.
 
Ni Mama yao ndiyo anakuwa anawaonyesha watoto wake na kumsema vibaya baba yao.
 
Ni Mama yao ndiyo anakuwa anawaonyesha watoto wake na kumsema vibaya baba yao.
Hiyo situation wanaume tunapitia kila leo sa ingine unakausha tu wajijue wenyewe ndo nilifanya,
wako wa3 kabila tofauti na singo maza wao sikilizia mziki wake.

Hizo mahakama za child support wengine imekua km sehemu za kupiga story tu,
maana utaitwa daily unapiga fix unatimua
 
Dishi lishaibiwa[emoji38] Ila jamaa ni AKILI KUBWA Sana basi tu haya yanayomsibu namkumbuka sana Mario Baloteli
 
Kwa kifupi tu ni kwamba huyo Schadenfreude Mange Kimambi and Co, ni coliation of fools.
 
Ukimuweka Field Marshall Es na Le Mutuz leo wanaweza wakapigana ngumi wenyewe wakati ni mtu mmoja, haya maisha kweli asiyekujuwa hakuthamini kabisa.

Ukiita shindano la Best IQ tangu kuanzishwa kwa JF kwenye tatu bora huwezi kumkosa Le Mutuz wa zamani.
 
Mange kiukweli sio binadamu wa kawaida. Kwa alipofikia tuseme tu lile ni housing tu kwa nje ila ndani hakuna binadamu kuna ibilisi. Kila anachopost ni kwa nia ya kuumiza watu. Hata kama App yake itamletea mabilioni ni kazi bure kama hana furaha wala uhuru. Raha ya hela ni kujenga kwenu. Sasa Mange hawezi kamwe tena kurudi bongo kufanya maendeleo.
 
Hayuko sawa kichwani
Yule ni sadist tu

Ova
 

Si uchi wake jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Brother laana zipo ata uko alipo anaweza ishia kua msenge ama mla ngada dunia ni kitendawili sana aombe mwisho mwema uyo dogo
 
Sasa hivi yuko bize kutetea ushoga, wale watetezi wa Mange ndio waijuwe takataka yao wanayoitetea ilivyo zaidi ya shetani.
 
Hivi huyu Mange ameshindikana kweli kwa wabongo?? maana anavuruga sana sana maisha ya watu. Hebu wabongo tafuteni dollars mtupe tumfanyie kazi huyu pimbi na iwe mwisho wake,.
Wasingemfatilia wala asingepata kik

Tatizo watu wanamfatilia na maumbea yake,mtu yuko marekani
Amatumiwa stori yeye anajaza mauwongo yake kunogesha stori
Aliyotumiwa

Ova
 
Subiri ifike 2025, utamsikia anawahamasisha wafuasi wake waingie mitaani kuandamana huku yeye akiwa Marekani anachungulia na kuwacheka. Demu hana akili, starehe yake ni kuona watu wanahangaika na kuhaha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…