Kupandikiza watoto chuki siyo kitu sahihi. Le Mutuz kwa hili anaonewa sana, namtetea

Yaani mtoto anamuambia Baba yake asaki diki la mtoto, yaani william asaki diki la kijana wake? Yaani Le mutuz asaki?
 
Mama Kufanya kazi taasisi flani hakumuondolei baba jukumu la kulea wanawe. Halafu kilichomshinda baba kutumia hiyo influence na yeye afanye kazi ni nini?
Acheni umarioooo
Unaona sasa? hapa unaandika hata kitu usichokijuwa ndio maana Mange amewashika vilivyo, kumbe huelewi lolote hata tatizo liko wapi.
 
Siamini kama ni mshamba, nadhani ni drama zake tu kumuumiza Neema.

Baharia ametembea karibu dunia nzima, hao mademu anaopiga nao Picha wana maajabu gani?

Cc; field marshall1
Hata kama ni kumuumiza, hebu fikiria mkuu yule mzee ni mgonjwa lkn kutwa ana badili malaya.

Kama ni kumuumiza angetafuta piskali moja akawa anakula nayo maisha sio lazima kuoa mbona angemuumiza pia.

Sasa yeye mgongw na malaya tofauti tofaut na wengine walimpiga picha yupp utupu wakamtumia mange!!

Kwa umri wake anadhalilisha kutukanana
 
Yaani mtoto anamuambia Baba yake asaki diki la mtoto, yaani william asaki diki la kijana wake?
Watoto wa New York hao. Wako dunia tofauti na Watanzania wengi.

Mimi ndiyo maana nawaona kama mnajiumiza vichwa bure tu kwa mambo msiyoyaelewa, ya familia zisizowahusu kwenye shauri ambalo hamjaombwa maoni.
 
General rule ni kwamba maisha ya watu maarufu yakija public lazima yaongelewe. Ni kila mahali
Hegelian dialectic requires thesis, antithesis and synthesis.

Hatuwezi kusimama na general rule moja miaka yote.

Sasa hivi wasomi wanaoangalia social media wanaona moja ya kitu kinachojaza watu ujinga wa kukosa kufuatilia mambo yao ya msingi ni celebrity worship.

Na hapa kwa njia moja au nyingine, kwa kujua au kutojua, mnafanya celebrity worship.

Mnamsujudia Le Mutuz kwa namna moja au nyingine.

Yani hata kumchamba ni kumpa attention, na hilo pia ni aina ya kumsujudia.

Attention is the currency of social media.

Kuna mtu tayari kashaomba maisha ya Le Mutuz ayasome. Mwenzenu anaongeza followers huko.

Mna uhuru wa kufanya mnavyotaka, mimi naweka mawazo mbadala tu.

I am deconstructing this hidden celebrity worship.
 
Yani unamtukana baba yako halafu unamblock.

Nani mwenye access na simu ya huyu mtoto? Hivi habari ufikishe kwa Kigagula Mange mwenye followers sijui million 10 kuna siri gani tena hapo?
Dogo unyamwezi umekuwa mwingi 😄
 
Halafu na wewe tuko wote kwenye huu Uzi kwa masaa sasa, yani in short umenogewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…