Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Acha upumbavu na mifano ya kijinga
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
 
Wewe akili yako haina akili
ha ha ha ha... bavicha mna matatizo sana. Anaandika mmoja alaf mnaanza kukomenti wenyewe..

Ni kweli hatujapanda madaraja,
ni kweli mishahara haijapanda,

lakini pesa ambayo tungeongezewa tunaona inavyotumika kwa mambo ya msingi kabisa kwa maendeleo endelevu ya inch yetu.

Nyie endeleeni kujidanganya.. hakuna mtu wa kumzidi magu.
 
Na sisi tunapiga hapa hapa.. hata akiiba lakini ajue kuna watu hakuwa tendea vizuri
Either now or never in the next 5 yrs. Jamaa haombi tena kipindi cha tatu, hiki ndo kipindi cha mwisho, kwa hiyo hana cha kupoteza wala kuhofia.
 
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
Huu uzi ni maalum kwa watumishi wa uma. We meneja wa bar endelea kupambana na mabaamedi wako
 
Kikao hiki ni muhimu sana kwa mustakabali wa maisha yetu.

Awamu ya tano imeweka rekodi ya kutunyima kupanda madaraja na mishahara tena kwa dharau.

Kura zeru zinatosha kupeleka ujumbe kwamba sisi pia ni binadamu.

Wao wanapesa hadi za kugawa mitaani, na kununua jogoo kwa laki moja lakini swala la mishahara yetu linaonekana ni la kipuuzi.

Agenda.

1. Wafanyakazi wa umma kwenda kupiga kura.. Hamasa.

2. Kukataa jina la mtu jeuri asiye thamini wafanyakazi wa umma.

3. Mengineyo.

Karibu mwenyekiti na wajumbe kikao kimefunguliwa.


View attachment 1530815
Hasira ni kali.
 
Watanya kazi ambao wameendelea kulipwa hata kipindi cha korona mnataka kikao kipi tena wapendwa?

Kuna nchi kibao zilishindwa, kuweni waungwana, JPM anatosha

Yawezekana kile kigugumizi cha kutokuongeza mishara Mbele yake kumbe kulikuwa na Janga ambalo pengine ingelimlazimu ashushe tena Viwango vya mishara, zuri ni lipi hapo
 
Wafanyakazi wa Tanzania si wasahaulifu kiasi hiki, hawawezi kuwa wamesahau kile kipindi cha kudai stahiki zako mpaka unakufa hujapata. Anakuja mtoto wako mrithi anadai. Naye anadai anazeeka ana kufa. Mjukuu ndio kukutana na awamu ya JPM analipwa.

Wafanyakazi walikuwa wanafanyakazi bila kupandishwa cheo miaka zaidi ya 10. Haiwezekani leo wawe wamesahau, tafuta chengine kutoa kasoro zako si hiki cha wafanyakazi.
 
Taja nchi iliuo shindwa kulipa mishahara.. hata huko afghastan wafanyakazi wamelipwa wakati wa corona na madaraja wamepandishwa.
Watanya kazi ambao wameendelea kulipwa hata kipindi cha korona mnataka kikao kipi tena wapendwa?

Kuna nchi kibao zilishindwa, kuweni waungwana, JPM anatosha

Yawezekana kile kigugumizi cha kutokuongeza mishara Mbele yake kumbe kulikuwa na Janga ambalo pengine ingelimlazimu ashushe tena Viwango vya mishara, zuri ni lipi hapo
 
Kwahiyo wewe unaweza kumkataa Baba ako kisa ameamua ndani ya nyumba mle Ugali tembele au ugali maharage ili hela ambayo angewanunulia nyama ya Kuku au ng'ombe ameamua kuwajengea nyumba nzuri ya tofali na bati ili muachane na nyumba ya udongo na manyasi...?
Matope kama tope zingine! Kununua ndege ndiyo kujenga nyumba?? Hii hela iliyotumika kununua ndege ni sawa na kufukia chini ziliwe na mchwa!
 
Eti mimi nilienda kujiendeleza kielimu na kwa hela zangu ambazo kisheria mwajiri alitakiwa anilipie. Nimemaliza nikitarajia kurudi na kupanda daraja ili nipunguze gharama nilizosomea. Nimefika kwa HRO ananiambia subiri mpaka miaka mitatu ipite ili kulipizia kipindi ambacho nilikuwa masomoni. Miaka ya nyuma mtu upo masomoni madaraja yanasonga kama kawaida.
 
Back
Top Bottom