Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Kupandishwa vyeo, mishahara na mengineyo: Watumishi wa umma mna maoni gani?

Watumishi wa umma wamekuwa wanaulizana na mwaka huu hawatapanda madaraja mbona kimya sana?

Licha ya mwaka jana wengine kupanda na wengine kuachwa kigezo cha masomoni wanashangaa tena mwaka huu serikali kupitia wizara ya utumishi wapo kimya.

Kupanda daraja ni haki ya mtumishi na kwa mjibu wa sheria za utumishi wa umma,kutopandishwa kwa wakati ni kuwanyima watumishi haki zao na kuwavunja moyo na mbaya zaidi kwa watumishi ambao wanaenda kustafu kupunjwa malipo yao kwa kutopandishwa madaraja.

Waliokuwa masomoni wanalalama hawakupanda madaraja, waliopo kazini wanalalama, wakulima wanalalama, wafanyabiashara wanalalama, wazabuni wanalalama, wanaohitimu wanalalama hakuna ajira.

Serikali hii haijamsaidia mtu yoyote Tanzania
xx
 
Watumishi wa umma wamekuwa wanaulizana na mwaka huu hawatapanda madaraja mbona kimya sana?

Licha ya mwaka jana wengine kupanda na wengine kuachwa kigezo cha masomoni wanashangaa tena mwaka huu serikali kupitia wizara ya utumishi wapo kimya.

Kupanda daraja ni haki ya mtumishi na kwa mjibu wa sheria za utumishi wa umma,kutopandishwa kwa wakati ni kuwanyima watumishi haki zao na kuwavunja moyo na mbaya zaidi kwa watumishi ambao wanaenda kustafu kupunjwa malipo yao kwa kutopandishwa madaraja.

Waliokuwa masomoni wanalalama hawakupanda madaraja, waliopo kazini wanalalama, wakulima wanalalama, wafanyabiashara wanalalama, wazabuni wanalalama, wanaohitimu wanalalama hakuna ajira.

Serikali hii haijamsaidia mtu yoyote Tanzania
"Ongeza sauti" tuonane October 28.
 
Watumishi wa umma wamekuwa wanaulizana na mwaka huu hawatapanda madaraja mbona kimya sana?

Licha ya mwaka jana wengine kupanda na wengine kuachwa kigezo cha masomoni wanashangaa tena mwaka huu serikali kupitia wizara ya utumishi wapo kimya.

Kupanda daraja ni haki ya mtumishi na kwa mjibu wa sheria za utumishi wa umma,kutopandishwa kwa wakati ni kuwanyima watumishi haki zao na kuwavunja moyo na mbaya zaidi kwa watumishi ambao wanaenda kustafu kupunjwa malipo yao kwa kutopandishwa madaraja.

Waliokuwa masomoni wanalalama hawakupanda madaraja, waliopo kazini wanalalama, wakulima wanalalama, wafanyabiashara wanalalama, wazabuni wanalalama, wanaohitimu wanalalama hakuna ajira.

Serikali hii haijamsaidia mtu yoyote Tanzania
Waendeelee kuiona kijani kolea,, wachague mtu sahihi
 
Hatari sana kwa watumishi,uonevu uliokithiri.
Watu mara ya mwisho 2015 walipopanda hadi sasa bila bila!!
Visingizio kadha wa kadha,hakuna kinachofanyika,siku zinaenda.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Watumishi wa umma wamekuwa wanaulizana na mwaka huu hawatapanda madaraja mbona kimya sana?

Licha ya mwaka jana wengine kupanda na wengine kuachwa kigezo cha masomoni wanashangaa tena mwaka huu serikali kupitia wizara ya utumishi wapo kimya.

Kupanda daraja ni haki ya mtumishi na kwa mjibu wa sheria za utumishi wa umma,kutopandishwa kwa wakati ni kuwanyima watumishi haki zao na kuwavunja moyo na mbaya zaidi kwa watumishi ambao wanaenda kustafu kupunjwa malipo yao kwa kutopandishwa madaraja.

Waliokuwa masomoni wanalalama hawakupanda madaraja, waliopo kazini wanalalama, wakulima wanalalama, wafanyabiashara wanalalama, wazabuni wanalalama, wanaohitimu wanalalama hakuna ajira.

Serikali hii haijamsaidia mtu yoyote Tanzania
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
 
Humu bosi wako yumo!!..
Maandishi yako.. vile umemalizia.. ni umeandika ujijuavyo kiupinzani.
Na umetunga mengi.. acha kudandia hao.. wanaoenda kumpatia Magufuli kura 💯

Una lingine? Isiwe uwongo tu tena..
 
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Mbuzi wa ndafu ww. Unaongea mashudu.
 
Hivi mwanangu umevuta cha arusha siyo,acha kudhihaki watu ndugu yangu!Haipendezi kuwapa watu matusi ya rejareja na Mungu hapendi!
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Mleta hoja ana mantiki,utakuwa hujamwelewa kwa bahati mbaya au makusudi.
Waliopanda mara ya mwisho 2015 hawajapandishwa tena,ni miaka mitano sasa toka wapande daraja.
Usipopandisha daraja unakwamisha mambo mengi sana kwa mtumishi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Msukulle wa JPM wewe umekurupuka uko unakuja kutapika kama umekatwa kichwa
 
Humu bosi wako yumo!!..
Maandishi yako.. vile umemalizia.. ni umeandika ujijuavyo kiupinzani.
Na umetunga mengi.. acha kudandia hao.. wanaoenda kumpatia Magufuli kura [emoji817]

Una lingine? Isiwe uwongo tu tena..
Kajifunze kiswahili kwanza
 
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Una uhakika?
Wakati wilayani kwetu walimu walioajiriwa 2000 mpaka leo wanalisikia tu daraja ndugu?
Acha utani na maslahi ya watu,mpaka leo mwalimu yupo tgts b1 aloanzia nayo kazi.
 
Mleta hoja ana mantiki,utakuwa hujamwelewa kwa bahati mbaya au makusudi.
Waliopanda mara ya mwisho 2015 hawajapandishwa tena,ni miaka mitano sasa toka wapande daraja.
Usipopandisha daraja unakwamisha mambo mengi sana kwa mtumishi.
wapo walo pandishwa madaraja mwaka 2013 wakaja pandishwa mwaka jana so kwa hao wa 2015 wasubiri 2021 so sad!!!
 
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Nyanoko..

#MaendeleoHayanaChama
 
Huu ni upotoshaji mkuu, yawezekana Mwandishi hauna taarifa au umedandanywa na unachokisndika haukielewi vyema.
Kupanda madaraja kwa watumishi kumefanyika karibia katika kila mwezi na wahusika kubadilishiwa mishahara.
Kusema Mwaka huu Utumishi wapo kimya ulitaka wafanyeje?. Kupanda daraja ni siri ya mwajiriwa na mwajiri wake. Kama upandaji wako umekwama, mwone afisa utumishi wako akutatulie
Sio kweli kwamba mishahara haijaongezeka, kuna staili nyingi za kuongeza mishahara. Hii ya kupunguza kodi ni mojawapo ambapo imezuia tabia za wafanyabiashara kupandisha bei za bidhaa Mara tu wasikiapo mishahara imepanda. Kweli take home ya mshahara wako haijaongezeka mwaka huu?. Acha upotoshaji.
Iwekyana kaly'empali.Olikitumbafu.kwani kewaugamba amazima bakukoma??
Ekikozilwe bapunguize amakato kyonka taliwo incrment nkokwesheria zikugamba!!
 
Back
Top Bottom