Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Unavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kituKomaa wakuhamishie mjini Vwawa, Mlowo au kwengine.
Mbozi ina mjini nyingi sanaa.
Wasalimie wanyia.
#YNWA
Mbozi ina mjini na kijijini.Unavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kitu
Uhamisho bila kubadilishana hata utoe kafara ya mke wako huendi manispaa labda uwe na connection na hawa watatu wote Kwa pamoja
1 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri
2.RAS
3.Katibu mkuu wa tamisemi
Hapo utatoboa tena uwe mvumilivu
Sehemu inayoitwa manispaa isikie tu bora halmashauri za miji
Amen.Kwanza mwanaume kuwaza Ugumu wa Maisha ni upuuzi,hao ndio Huwa wanakuja kuwa machoko huko Mjini.
Anaweza ishi machimboni kweli huyo? Anaongea hayo wakati usafiri ,maji,makazi alipata Sasa sijui Ugumu upi ikiwa basic needs zipo..
Kuna Kijiji nilienda shule inatenganishwa na Kijiji Kwa mkondo mkubwa wa Maji ya Ziwa na mto kiasi walimu au Watoto au wanakijii wakitaka kusafiri lazima wavuke Kwa mtumbwi na hiyo ni daily life Sasa huko angesemaje?
Niliwakuta Watumishi wa Serikali wako poa tuu na maisha yanaendelea,uvuvi ndio shughuli kuunya uchuyna pesa watu wanapata.
Ninapozungumzia halmashauri za miji ni kamaUnavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kitu
Uhamisho bila kubadilishana hata utoe kafara ya mke wako huendi manispaa labda uwe na connection na hawa watatu wote Kwa pamoja
1 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri
2.RAS
3.Katibu mkuu wa tamisemi
Hapo utatoboa tena uwe mvumilivu
Sehemu inayoitwa manispaa isikie tu bora halmashauri za miji
Okey.Huyo jamaa Liverpool VPN
Huyu kaja na Uzi wake ambao unaonesha tabu alizopata na hii kwa sababu ya ufinyu wa akili
Kumbuka Ametoka mjin kuja kijijin kufata fursa za kununua mazao
Shule iwe ndani ya halmashauri hapo unaweza ukatoboa nje ya hapo kuwa mpoleMbozi ina mjini na kijijini.
Kwahiyo anahama Shule na sio Wilaya.
#YNWA
Maisha ni zaidi ya kulima na kufuga.Sasa ukilima na kufuga ukapata mahela unataka NN ?
Ukianzia kazi vijijini au mikoa ya pembezoni inakuwa na faida kubwa ghrama za maisha ni ndogo fursa za kulimo na ufugaji n.kKijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).
Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.
Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.
Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.
In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Ukishasema tu kijijini fursa zinakuwa za kulenga Kwa manati, ukifungua mgahawa huambulii kitu kila mtu anakula kwake, ukiwa na banda la matunda huambulii kitu watu wanakula matunda pori kwisha HabariHuyo jamaa Liverpool VPN
Huyu kaja na Uzi wake ambao unaonesha tabu alizopata na hii kwa sababu ya ufinyu wa akili
Kumbuka Ametoka mjin kuja kijijin kufata fursa za kununua mazao
Uzuri ni kwamba ukiacha wengine wanaajiriwa..
Siku Moja nimeenda site kuoneshwa Ili tuchonge Barabara ni Mwambao mwa Ziwa Tanganyika yaani Kuna Vijiji vingi sana havina Barabara usafiri wao ni maji na Kwa maboti ya kienyeji..
Sasa tukaanza safari ndio ilikuwa mara ya kwanza kusafiri kwenye mi via mitumbwi ya kienyeji no life jacket no nini? Aisee niliogopa nikafikiria mara mbili kwamba hivi hakuna kazi nyingine ya kufanya Hadi hii inayohatarisha maisha yangu?
View attachment 2672563View attachment 2672565
Nikamwambia mwenyeji Wetu mtendaji kata kwamba Mimi kama ndio maisha haya daily naweza acha kazi,akacheka akasema ukixoea utaona kawaida akatutia Moyo wewe yaani hapo mnarushwa Juu na mawimbi harafu unashuka paa yaani kufa Nje Nje..
Hapo ndio nikasema Vijiji vya dizaini hiyo hapana ,Hadi Leo nilisema wakija kusema niende tena ntawajibu Nina kizungu zungu,kusafiri km 40 ndani ya maji sio mchezo.View attachment 2672577
Unajuaje hayupo huko, neno choko limekukaa sana kinywani mwako inaonyesha ni tabia zako ndio maana unaona maisha ni mepesi Kwa kuwa unapewa pesa na wanaumeKwanza mwanaume kuwaza Ugumu wa Maisha ni upuuzi,hao ndio Huwa wanakuja kuwa machoko huko Mjini.
Anaweza ishi machimboni kweli huyo? Anaongea hayo wakati usafiri ,maji,makazi alipata Sasa sijui Ugumu upi ikiwa basic needs zipo..
Kuna Kijiji nilienda shule inatenganishwa na Kijiji Kwa mkondo mkubwa wa Maji ya Ziwa na mto kiasi walimu au Watoto au wanakijii wakitaka kusafiri lazima wavuke Kwa mtumbwi na hiyo ni daily life Sasa huko angesemaje?
Niliwakuta Watumishi wa Serikali wako poa tuu na maisha yanaendelea,uvuvi ndio shughuli kuunya uchuyna pesa watu wanapata.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] kwahyo mmomonyoko was maadili ndio unajali wewKijijini usalama tosha hakuna vibaka vyakula natural,hakuna mmomonyoko wa maadili
Mpuuze tu huyu tahila, imagine mtu anawaza ushuzi kiasi hiki.Akili ya wabongo ni ngumu sana kufanikiwa, unawaza pisi kwenye mjadala wa maendeleo dah!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Hii comment ndio imemalizia kwa nyundo ya kichwa kabisaNaongezea hapo
Ukipangiwa kazi vijijini sana basi tegemea kuwa mlevi wa mataputapu na sigara pori
Soma tena ulichoandika nifafanulieKwahiyo hata ndio maisha unayozungumzia HAYO MAISHA?
#YNWA
Pamoja na factor hio[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] kwahyo mmomonyoko was maadili ndio unajali wew
Kilimanjaro ni mkoa wa kipumbavu.Mbona wa mkoa kilimanjaro wana pakimbia sana kwani ni jela pia.
Kijijini tunalima,tunafuga,tunanunua mazao,tunakopesha hela wenye njaa,tunaweka mashine za kusaga/kukoboa,mpunga,alizeti na pia tunakuwa madalali wa kununua mizigo ya matajiri wa Mjini au connection za mifugo..Ukishasema tu kijijini fursa zinakuwa za kulenga Kwa manati, ukifungua mgahawa huambulii kitu kila mtu anakula kwake, ukiwa na banda la matunda huambulii kitu watu wanakula matunda pori kwisha Habari
Kijijini ni kuzuri kwenda kusalimia ndugu zetu ingekuwa ni fursa wasingetupigia simu kuomba pesa za kununua sukari