Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Kupangiwa kazi vijijini tayari unakuwa umeuliwa kifikra na kitaaluma

Komaa wakuhamishie mjini Vwawa, Mlowo au kwengine.

Mbozi ina mjini nyingi sanaa.

Wasalimie wanyia.

#YNWA
Unavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kitu

Uhamisho bila kubadilishana hata utoe kafara ya mke wako huendi manispaa labda uwe na connection na hawa watatu wote Kwa pamoja

1 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri

2.RAS

3.Katibu mkuu wa tamisemi

Hapo utatoboa tena uwe mvumilivu

Sehemu inayoitwa manispaa isikie tu bora halmashauri za miji
 
Unavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kitu

Uhamisho bila kubadilishana hata utoe kafara ya mke wako huendi manispaa labda uwe na connection na hawa watatu wote Kwa pamoja

1 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri

2.RAS

3.Katibu mkuu wa tamisemi

Hapo utatoboa tena uwe mvumilivu

Sehemu inayoitwa manispaa isikie tu bora halmashauri za miji
Mbozi ina mjini na kijijini.
Kwahiyo anahama Shule na sio Wilaya.

#YNWA
 
Kwanza mwanaume kuwaza Ugumu wa Maisha ni upuuzi,hao ndio Huwa wanakuja kuwa machoko huko Mjini.

Anaweza ishi machimboni kweli huyo? Anaongea hayo wakati usafiri ,maji,makazi alipata Sasa sijui Ugumu upi ikiwa basic needs zipo..

Kuna Kijiji nilienda shule inatenganishwa na Kijiji Kwa mkondo mkubwa wa Maji ya Ziwa na mto kiasi walimu au Watoto au wanakijii wakitaka kusafiri lazima wavuke Kwa mtumbwi na hiyo ni daily life Sasa huko angesemaje?

Niliwakuta Watumishi wa Serikali wako poa tuu na maisha yanaendelea,uvuvi ndio shughuli kuunya uchuyna pesa watu wanapata.
Amen.

#YNWA
 
Unavyotaja uhamisho unadhani ni kitu simpo sana, MIMI siwez jua maana sipo huko ila Kwa maelezo ya walimu ninaowasaidiaga pesa za mkopo wananiambia kila kitu

Uhamisho bila kubadilishana hata utoe kafara ya mke wako huendi manispaa labda uwe na connection na hawa watatu wote Kwa pamoja

1 mkurugenzi mtendaji wa halmashauri

2.RAS

3.Katibu mkuu wa tamisemi

Hapo utatoboa tena uwe mvumilivu

Sehemu inayoitwa manispaa isikie tu bora halmashauri za miji
Ninapozungumzia halmashauri za miji ni kama

Katoro

Katesh

Handeni mjini

Korogwe mjini

Halmashauri za manispaa ni kama

Singida mjini

Shinyanga mjini

Songea mjini

Iringa mjini

Halmashauri za jiji ni kama

Ilala

Mwanza

Dodoma

Arusha

Sasa bora miji Kwa mbali ila manispaa na jiji uhamisho wake ni parakatumba
 
Kijijini fursa nyingi sana, hasa kwenye sekta ya ardhi, kilimo, ufugaji (ng'ombe wa maziwa, mbuzi...), usafirishaji, uvuvi (kwa baadhi ya maeneo), maji, na viwanda vidogo (kama kufyatua tofali, kutengeneza makochi, kushona nguo...).

Pia kijijini wana jamii wanakuwa na ushirikiano mkubwa sana kwa wataalamu wa afya, jambo linalokupatia faraja kubwa ambayo ina thamani kubwa isiyoweza kupimwa kwa kipato cha pesa.

Kijijini pia unapata muda wa kuwa karibu na familia yako kama unayo.

Kijijini unaweza kupata nyumba ya serikali bure, au ukapata nyumba nzuri kwa gharama nafuu, hivyo kusave something.

In short kijijini fursa ni nyingi kuliko mjini kwa watu wenye mshahara unaolingana, na kwa mwenye akili inachangamka zaidi nje ya your comfort zone kuliko kudumaa mjini na vijiwe (kufanya fani moja pekee).
Ukianzia kazi vijijini au mikoa ya pembezoni inakuwa na faida kubwa ghrama za maisha ni ndogo fursa za kulimo na ufugaji n.k
 
Huyo jamaa Liverpool VPN
Huyu kaja na Uzi wake ambao unaonesha tabu alizopata na hii kwa sababu ya ufinyu wa akili
Kumbuka Ametoka mjin kuja kijijin kufata fursa za kununua mazao
Ukishasema tu kijijini fursa zinakuwa za kulenga Kwa manati, ukifungua mgahawa huambulii kitu kila mtu anakula kwake, ukiwa na banda la matunda huambulii kitu watu wanakula matunda pori kwisha Habari

Kijijini ni kuzuri kwenda kusalimia ndugu zetu ingekuwa ni fursa wasingetupigia simu kuomba pesa za kununua sukari
 
Uzuri ni kwamba ukiacha wengine wanaajiriwa..

Siku Moja nimeenda site kuoneshwa Ili tuchonge Barabara ni Mwambao mwa Ziwa Tanganyika yaani Kuna Vijiji vingi sana havina Barabara usafiri wao ni maji na Kwa maboti ya kienyeji..

Sasa tukaanza safari ndio ilikuwa mara ya kwanza kusafiri kwenye mi via mitumbwi ya kienyeji no life jacket no nini? Aisee niliogopa nikafikiria mara mbili kwamba hivi hakuna kazi nyingine ya kufanya Hadi hii inayohatarisha maisha yangu?
View attachment 2672563View attachment 2672565
Nikamwambia mwenyeji Wetu mtendaji kata kwamba Mimi kama ndio maisha haya daily naweza acha kazi,akacheka akasema ukixoea utaona kawaida akatutia Moyo wewe yaani hapo mnarushwa Juu na mawimbi harafu unashuka paa yaani kufa Nje Nje..

Hapo ndio nikasema Vijiji vya dizaini hiyo hapana ,Hadi Leo nilisema wakija kusema niende tena ntawajibu Nina kizungu zungu,kusafiri km 40 ndani ya maji sio mchezo.View attachment 2672577

Kwahiyo hata ndio maisha unayozungumzia HAYO MAISHA?

#YNWA
 
Kwanza mwanaume kuwaza Ugumu wa Maisha ni upuuzi,hao ndio Huwa wanakuja kuwa machoko huko Mjini.

Anaweza ishi machimboni kweli huyo? Anaongea hayo wakati usafiri ,maji,makazi alipata Sasa sijui Ugumu upi ikiwa basic needs zipo..

Kuna Kijiji nilienda shule inatenganishwa na Kijiji Kwa mkondo mkubwa wa Maji ya Ziwa na mto kiasi walimu au Watoto au wanakijii wakitaka kusafiri lazima wavuke Kwa mtumbwi na hiyo ni daily life Sasa huko angesemaje?

Niliwakuta Watumishi wa Serikali wako poa tuu na maisha yanaendelea,uvuvi ndio shughuli kuunya uchuyna pesa watu wanapata.
Unajuaje hayupo huko, neno choko limekukaa sana kinywani mwako inaonyesha ni tabia zako ndio maana unaona maisha ni mepesi Kwa kuwa unapewa pesa na wanaume
 
Naongezea hapo
Ukipangiwa kazi vijijini sana basi tegemea kuwa mlevi wa mataputapu na sigara pori
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Hii comment ndio imemalizia kwa nyundo ya kichwa kabisa
 
Ukishasema tu kijijini fursa zinakuwa za kulenga Kwa manati, ukifungua mgahawa huambulii kitu kila mtu anakula kwake, ukiwa na banda la matunda huambulii kitu watu wanakula matunda pori kwisha Habari

Kijijini ni kuzuri kwenda kusalimia ndugu zetu ingekuwa ni fursa wasingetupigia simu kuomba pesa za kununua sukari
Kijijini tunalima,tunafuga,tunanunua mazao,tunakopesha hela wenye njaa,tunaweka mashine za kusaga/kukoboa,mpunga,alizeti na pia tunakuwa madalali wa kununua mizigo ya matajiri wa Mjini au connection za mifugo..
Ukiacha hizo tunaonesha Mpira kwenye vibanda umiza,na kuwa wakala japo hii ya uwakala ni hatari Bora hizo zingine.
 
Back
Top Bottom