Uwezo wa kufikiri hutegemea na mazingira yanayokuzunguka eg aliekulia New York, dar es salaam na Pangani hawawezi fanana hata kama wote hawajasoma.
Uwezo wa kufikiria na kuziona fursa hutegemea level ya competition ya jamii ndio maana mtu wa kijijini automatic hujikuta ni fursa Kwa yule wa mjini eg unatoka na mazao Yako kuja kuuza mjini utakutana na mtu anaejiita dalali anakupiga
Kama Japan nchi ya Dunia ya kwanza na watu wanakimbia vijijini huku vijiji vyao vikiwa na Kila kitu Barbara za lami,umeme,maji,mawasiliano mpaka ukitaka kuhama mjini kurudi kijijini serikali inakulipa lakini watu hawataki hapo unaweza ona by nature kijijini huwezi fanikiwa
Wewe ona hata hizi jamii za watu weupe zinarundikana kutokana na maendeleo ya sehemu ukiwa dar es salaam ukiambiwa katafute muhindi, machina,mwarabu ni rahisi Sasa nenda Nanyamba huwakuti kwakuwa fursa zinakuwa zimepungua, vijijini hata mzunguko wa pesa ni za msimu.
Watu wa vijijini Bado wanaamini kwenye socialization hivyo wengi huamini huduma ni Bure hivyo huwezi kutumia professional Yako kujipatia kipato Cha ziada mfano nesi wa mjini ukienda kumfuata nyumbani kwake muda sio wa kazi akuchome sindano utamlipa 1000 kijijini mtu atataka Bure,
All in all kijijini utaonekana umefanikiwa ila hujafanikiwa sema kwakuwa unashindana na masikini ni SAWA na wale tunaowaona wamefanikiwa Tanzania ukienda linganisha na wamarekani utawaona wakawaida