mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,188
- 1,090
♻️ Kwa kuzingatia wigo mdogo wa walipa kodi ktk nchi yetu dhidi ya idadi kubwa ya wananchi..
♻️ Kufuatia deni la taifa kuongezeka kila leo..
Kufuatia mtikisiko wa thamani wa fedha yetu..
♻️ Kufuatia ukwasi mkubwa wa taasisi za kidini kupitia mapato ya Sadaka,dhaka,mafungu ya kumi..Malimbuko..
♻️ Kufuatia wepesi wa Watanzania kutoa Sadaka kuoitia imani zao mbalimbali..
♻️ Kufuatia utajiri na ukwasi mkubwa wa waendesha huduma za kiroho..Na hili linachagizwa na biashara ya kuuza maji ya upako,Chumvi,Vitambaa,Mafuta,Rangi,etc.
♻️ Ni wakati sasa sheria ya kodi iguse na kutoza kodi kwenye taasisi hizi kuongeza wigo wa mapato kwa nchi.
♻️ Kufuatia deni la taifa kuongezeka kila leo..
Kufuatia mtikisiko wa thamani wa fedha yetu..
♻️ Kufuatia ukwasi mkubwa wa taasisi za kidini kupitia mapato ya Sadaka,dhaka,mafungu ya kumi..Malimbuko..
♻️ Kufuatia wepesi wa Watanzania kutoa Sadaka kuoitia imani zao mbalimbali..
♻️ Kufuatia utajiri na ukwasi mkubwa wa waendesha huduma za kiroho..Na hili linachagizwa na biashara ya kuuza maji ya upako,Chumvi,Vitambaa,Mafuta,Rangi,etc.
♻️ Ni wakati sasa sheria ya kodi iguse na kutoza kodi kwenye taasisi hizi kuongeza wigo wa mapato kwa nchi.