Kupasiana Wanawake imekuwa kawaida siku hizi

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Ni weekend nyingine unaweza tembelea Tabata na Sinza kuifurahia weekend yako. Kuna ishu imezuka kwa baadhi ya vijana akishasex na mwanamke anamuunganishia na rafiki zake nao waweze kusex nae kunakuwa na mnyororo mrefu.

Hii ishu imekuwa kama mchezo mwanamke mmoja anasex na watu kama wanne na wote ni marafiki na wanajuana. Bila kujali magonjwa ya zinaa yapo.
 
Kuna msemo wa zamani....if it is look like a duck............UTAMALIZIA MWENYEWE.
 
Sasa hapa alaumiwe nani anaevua au anaevulisha...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…