Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Hamna kisicho na mwisho, inapotoka ccm ni mbali kuliko inapokwenda. Kifo chake kimekaribia. Hayo aliyoongea ni yeye kama mwenyekiti kujipa moyo. Ccm wenyewe wamejichoka ila wanazuga tu mbele ya bosi wao.
 
Kama maendeleo yataletwa na sisiem bas waendelee tu kutawala, maana sahv kero za wananchi zinasikilizwa, serikalini viongozi wanatimiza majukum yao, ndo mambo tuliokuwa tunalilia tangu zamani, mashirika pia yanafufuliwa, mazuri yakizidi mabaya tunasonga mbele
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.

Itaendelea
Kama kusema kweli ndio upenzi wa Mungu na sio kosa kusema kweli acha na mimi niseme kweli kuhusu fikra zangu.
Naomba hapa fikra zangu zisihukumiwe kama alivyo hukumiwa Lema kwa kuota ndoto.
Fikra zangu zinaniambia kwa vile mwenyekiti anasema ccm itatawala milele hivyo haita kuwa na haja kuangalia raia wanasemaje au wanataka nini zaidi ya kitakiwacho na ccm ndio kitafanyika. So whats next? yale mambo ya zamani kwa nchi nyingi za kiafrika na hata sehemu kadhaa hapa duniani yanaweza kutokea kwani "watawala wa milele" wao watahakikisha hakuna chama kingine kinaingia madarakani. Mambo gani hayo? Yale kama ya Nigeria au Ghana yaliyowaingiza kina Obasanjo au Rawlings.
Hapo ndio utabiri wa kutawala milele utakapo shindwa. Ni mawazo tuu yamenipita ichwani na kuamua kuwa msema kweli mpenzi wa Mungu
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.

Itaendelea
NI KWELI TUPU HATA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI, NDUGU LUGOLA KATHIBITISHA HILO KWA KITENDO CHAKE CHA KUTEMBEA NA ILANI YA CCM KILA PAHALI HATA ANAPOZURU MAJESHINI
 
Kama maendeleo yataletwa na sisiem bas waendelee tu kutawala, maana sahv kero za wananchi zinasikilizwa, serikalini viongozi wanatimiza majukum yao, ndo mambo tuliokuwa tunalilia tangu zamani, mashirika pia yanafufuliwa, mazuri yakizidi mabaya tunasonga mbele
Mpigie simu mbunge wa mtama yupo jimboni muda huu mweleze hayo.
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.

Itaendelea
"CCM itatawala milele na Tanzania itakuwa maskini milele"
 
Nahisi una ugonjwa wa mahaba, huyu hajui ukweli, ni mkurupukaji, hajui maana ya collective responsibility, huyu ni mvurugaji, hata Yesu pamoja na kuwa na mamlaka ya kimungu alihitaji wasaidizi
 
Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
P. kuna wakati unacheza na akili zetu kweli kweli-sasa kama hakuna kitakachobadilika ni wazi tutaendelea na CCM milele (LOL). On a serious note: Kama JPM anataka kujua ukweli jinsi CCM inavyopendwa (1) WAACHE UCHAMA DOLA na pili (2) TUPATE KATIBA INAYO RUHUSU UCHAGUZI NA SIASA HURU. Siku hizi kila mkutano vyombo vya dola vipo full-kama huwezi kusoma nafikiri picha unaweza kuisoma. Siasa wanafanya wao hata hujui shughuli ipi ni ya serikali na ipi ni ya CCM. Chaguzi ndio hizo wakina JECHA, wagombea kutekwa, ma-agents kufurumishwa etc.
 
"CCM itatawala milele na Tanzania itakuwa maskini milele"
Ndio maana yake, miaka 56 wako madarakani hali iko hivi pamoja na Mungu kutujalia rasilimali zote hizi, watu wapole (waoga) na eneo kubwa la kutosha lakini hiiiiiii, watu bado wanakunywa maji pamoja na ng'ombe,mbuzi na punda?
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.

Itaendelea

Naona sasa umehama kabisa. Bora umejitambulisha, kuwa hatuko nawe tena kwenye makala tafakarishi.
Ngoja nimsubiri kaka yangu Mkarismatiki, Genta naye sijui atahama njia?
 
Wanabodi,

Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.

Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.

Itaendelea
Raisi hana hata kimoja anachosema ni cha ukweli,katika kumchanganyua(Analyze),Raisi wa Tanzania kuna kila dalili kuwa Magufuli katoka katika family katili sana,familiy ambayo mtoto anaadhibiwa kikatili hata kwa kosa dogo la kutomsalimia Mama au Baba asubuhi

Waswahili wana misemo inayosema "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo","kambare mkunje angali mbichi",hii ni msemo ya busara sana inayotufundisha vipi kuwalea watoto wetu ambao ndio taifa la kesho..

Ukimlea mtoto kwa vichapo ujue maamuzi yake yote yatakuwa hivyo hivyo,na atakao wazaa na wao watawalea watoto wao hivyo hivyo ni "chain",Mtoto atatumia nguvu katika maamuzi yake kuliko busara,

Ukimlea Mtoto kwa busara na mafundisho na maamuzi yake yatakuwa hivyo hivyo kwa busara na hekima,atakaowaza atawalea hivyo hivyo,iataendela kwa kizai chote..

Taifa linaelekea pabaya kwa maamumuzi na kauli za Raisi,kauli ya kurudisha Utumwa Tanzania "Wafungwa wafanye kazi usiku na mchana kwa mateke",Kauli ya Raisi kuhusu wasichana walipota mimba wakiwa shuleni "Serikali hailei walipoata mimba shuleni,watoto wasirudi shuleni",..

Kauli ya kuwa CCM itatawala milele,wakati wapinzani wanafanyiwa mikasa kibao ya kudhulumiwa haki zao.,

Kwasabau ya kauli zake na mambo anayowafanyia Raia wake, huyu Raisi inaonyesha kalelewa katika maisha magumu sana,maisha ya kudhulumiwa haki zake zakuwa mtoto,hakupewa nafasi ya kuwa mtoto,maisha ya kupigwa na kutothaminiwa na wazee au watu waliomzunguka ndio yaliyomfanya awe hivi.

Watanzani tuwe makini sana katika kuwalea watoto wetu,tuache kuwadhibu bila ya sababu,tuwasifu na kuwapongeza wanapofanya jambo,tusiwakemee bila ya sababu,Tuache watoto wawe watoto..
 
Back
Top Bottom