Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Everything change.... even the change itselfUnawezaje kuuzungumzia umilele wakati wewe huwezi kuishi milele.Au neno MILELE limebadilishwa maana.Kama miaka 20 iliyipota nchi haikua hivi ilivyo naamini pia miaka 50 ijayo nchi haitakua hivi ilivyo kwasababu viashiria vya mabadiliko ni vikubwa zaidi kuliko kurudi miaka iyo 20 nyuma.Lolote linaweza kutokea wakati wote.
Hata Kamuzu Banda wa Malawi aliwahi sema atatawala maisha!!Wakoloni wa Kireno pia waliwahi kusema watatawala Msumbiji na Angola kwa miaka 500.
Nawapelekea dildo na vibrator na hao wa kiume wapige punyeto,gereza halina luxury hayo magereza ya ulaya ni ya ulaya hapa kwetu maisha ya gereza yakiwa ni kama uraiani +chakula cha bure sisi sote tutaiba kuku ili tufungwe...tukale bata.Kama hao wafungwa wa kike wanataka mabwana kwanini wasipatiwe
Inaonekana ww na mtoto wako mnakaa mnadiskasi kidemokrasia akikosea au akikukosea,Raisi hana hata kimoja anachosema ni cha ukweli,katika kumchanganyua(Analyze),Raisi wa Tanzania kuna kila dalili kuwa Magufuli katoka katika family katili sana,familiy ambayo mtoto anaadhibiwa kikatili hata kwa kosa dogo la kutomsalimia Mama au Baba asubuhi
Waswahili wana misemo inayosema "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo","kambare mkunje angali mbichi",hii ni msemo ya busara sana inayotufundisha vipi kuwalea watoto wetu ambao ndio taifa la kesho..
Ukimlea mtoto kwa vichapo ujue maamuzi yake yote yatakuwa hivyo hivyo,na atakao wazaa na wao watawalea watoto wao hivyo hivyo ni "chain",Mtoto atatumia nguvu katika maamuzi yake kuliko busara,
Ukimlea Mtoto kwa busara na mafundisho na maamuzi yake yatakuwa hivyo hivyo kwa busara na hekima,atakaowaza atawalea hivyo hivyo,iataendela kwa kizai chote..
Taifa linaelekea pabaya kwa maamumuzi na kauli za Raisi,kauli ya kurudisha Utumwa Tanzania "Wafungwa wafanye kazi usiku na mchana kwa mateke",Kauli ya Raisi kuhusu wasichana walipota mimba wakiwa shuleni "Serikali hailei walipoata mimba shuleni,watoto wasirudi shuleni",..
Kauli ya kuwa CCM itatawalea milele,wakati wapinzani wanafanyiwa mikasa kibao ya kudhulumiwa haki zao.,
Kwasabau ya kauli zake na mambo anayowafanyia Raia wake, huyu Raisi inaonyesha kalelewa katika maisha magumu sana,maisha ya kudhulumiwa haki zake zakuwa mtoto,hakupewa nafasi ya kuwa mtoto,maisha ya kupigwa na kutothaminiwa na wazee au watu waliomzunguka ndio yaliyomfanya awe hivi.
Watanzani tuwe makini sana katika kuwalea watoto wetu,tuache kuwadhibu bila ya sababu,tuwasifu na kuwapongeza wanapofanya jambo,tusiwakemee bia ya sababu,Tuache watoto wawe watoto..
Kaka, utakuwepo hiyo milele?Wanabodi,
Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.
Itaendelea
Lowasa hana ishu, huyo mnayemsifia amemsifia huyo mnayemponda, sasa mnamaana gani kumponda aliyesifiwa na mnayemsifia, msifieni woteHata ile kauli ya tutatawala milele ni ya kutokujiamini, pia huende inadhihirisha madai ya mh. Lowasa kuwa alishinda
Mkuu, mfungwa hufungwa kutegemeana na katiba na sheria inavyosema, km ilisema hmna mikutano ya kujamiiana na wenza basi haipo tusilifanye kuwa jambo jipya, km lilikuwepo hapo kabla na limeainishwa ktk haki ya mfungwa basi tupige kelele uonevu, so kuna kifungu kinazuia au kinaruhusu hili swala alilopinga Dr Magu au tunareact tu kwa mapenzi yetu binafsiNdio maana nikakwambia hapo mwanzo kuwa bado IQ yako ndogo,unataka kuipeleka Jamii ya Kitanzania katika matatizo makubwa sana kwsababu unaona kuwapelekea wafungwa wanawake, na wanawake kuwapelekea wanaume, itakuwa umepoteza maana ya Mfungwa.,Sasa lipi bora jamii ingie kwenye janga la "kulawitiana" na "kusagana" au kuwaruhusu wafungwa wa kiume wapelekewe wanawawake na wale wa kike wapelekewa wanaume!??
Kama hao wafungwa wa kike wanataka mabwana kwanini wasipatiwe???!!!,Askari Magereza kufanya mapenzi na mfungwa wa kike ni kosa la kikatiba kosa hilo halina tafauti na Mwalimu kufaya mapenzi na mwanafunzi.,lakini kama wafungwa wa kike hawakupatiwa hao mabwana basi uje askali Magereza watafanya nao mapenzi,...Obviously
Jamii bora hujengwa na watu wenye mawazo bora,Kuna jamii nyingi tu duniani zimeanguka kutokana na viongozi wao kutokuwa na hekima kwa wale anaowaongoza..
Umeanza tena uchokozi, Mzee Mayalla!Itaendelea
Hivi upinzani ni Chadema tu? Wewe umeshindwa nini kuleta mbadala wa Chadema?Tukiwashauri Chadema unabezwa! Unaitwa gamba, ndio maana juhudi za kuikosoa CCM zimeijenga CCM kuliko upinzani! Upinzani wanataka wapewe nchi kama mtoto anavyolilia peremende! Never! Badala ya kulilia mabadiliko CCM anzeni kukubali ukweli mchungu wa kusukuma uwepo wa mabadiliko ndani ya upinzani. Makamanda wanajazana upepo kuwa watashinda 2020! Seriously! Mshindwe kumtoa weak government ya JK mumtoe JPM? Msipokubali ukweli mchungu sahauni kuitoa CCM madarakani.
Huwa nafikiri ni Wachache sana tunaofikirisha vichwa kwenye Makala za Pascal Mayalla ..hapa CCM inaweza Kuondoka kwa Mapinduzi ya Kuongozwa na Wananchi ila Siyo kwa Uchaguzi..katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Poa,Mkuu,Acha Dr Magu atutengezee jamii ya watanzania yenye wafungwa wanaojamiiana kwa jinsia moja..,kwani hao wafungwa wakimaliza kifungo wataishi uraiani,nawaonea huruma watoto wetu..Mkuu, mfungwa hufungwa kutegemeana na katiba na sheria inavyosema, km ilisema hmna mikutano ya kujamiiana na wenza basi haipo tusilifanye kuwa jambo jipya, km lilikuwepo hapo kabla na limeainishwa ktk haki ya mfungwa basi tupige kelele uonevu, so kuna kifungu kinazuia au kinaruhusu hili swala alilopinga Dr Magu au tunareact tu kwa mapenzi yetu binafsi
Kweli sio rahisi kuwatoa kwa watu jamii hii ya njaa.Huwa nafikiri ni Wachache sana tunaofikirisha vichwa kwenye Makala za Pascal Mayalla ..hapa CCM inaweza Kuondoka kwa Mapinduzi ya Kuongozwa na Wananchi ila Siyo kwa Uchaguzi..
Zanzibar CUF alishinda nini kilitokea?
Na Wananchi hawa ambao Ujinga,Maradhi,Njaa..nk ndiyo Wengi ambao hata kudai haki zao za Msingi hawawezi..Wataweza Kuitoa CCM?
Ni Ukweli Mchungu..
1) UmaskiniHii ya kutawala milele inaukakasi kidogo Mkuu. Hao watu wametawala kwa zaidi ya miaka 50 yenye mambo mengi ya kujiuliza. Bado mpaka leo hatujaweza kuondoa maaadui watatu wa Taifa letu, UMASIKINI, UJINGA NA NJAA. Wakati mwingine huwa najiuliza maswali mengi sana kuhusu aina za siasa za nchi yetu, nadhani matumizi ya akili zetu hayana nafasi kabisa. Naomba tufanye objective analysis tuongozwe na facts na siyo ushabiki au mapenzi. Muheshimiwa Raisi anatimiza wajibu wake kama Raisi na hayo ndiyo mategemeo ya waajiri wake ambao ni sisi wapiga kura.
Kwanza unajua maana ya neno milele.......HEBU tuanzie hapoWanabodi,
Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku zote ndio husimama mpaka mwisho. Kali ya rais wetu Dr. John Pombe Magufuli, kuwa "CCM itatawala Milele " ni kauli ya ukweli kabisa kuwa ni ukweli halisi na ukweli bayana, katika mazingira ya sasa ya nchi yetu na uendeshaji wa siasa za vyama vingi, kama hakuna kitakachobadilika, then rais Magufuli yuko very right kuwa CCM itatawala milele!.
Moja kati ya sifa kubwa za rais Magufuli, ni kusema ukweli Daima tena bila kukopesha, wala kurembaremba, japo kuwa mkweli sana sometimes sio nzuri sana kidiplomasia katika baadhi ya maeneo, ambapo diplomasia hutumika, haya mambo ya diplomasia ndio yametufikisha hapa tulipo, sasa ili tutoke hapa na kusonga mbele kimaendeleo, Watanzania ni lazima tujifunze kuubali ukweli jinsi ile ulivyo, bila kurembwa rembwa. La CCM kutawala mimi ni ukweli mtupu.
Itaendelea
Hivi vitu lazima uviondowe mwenyewe, serikali haihusiani kabisa!1) Umaskini
2) Ujinga
3) Maradhi
Hakika ni ngumu sana maadui hawa watatu wa Taifa wakaondoka kwa tawala hizo ................